Kwa ratiba hii... Muda wa kupumzika kwa wachezaji ni mtihani BODI ya Ligi Kuu Bara (TPLB) imetoa ratiba ya msimu wa 2025-2026 uliopangwa kuanza Septemba 17 kwa mechi mbili - KMC itacheza na Dodoma Jiji, Dar es Salaam ilhali Coastal Union dhidi ya Tanzania...
Vurugu za usajili wakati dirisha likifungwa Ulaya LONDON, ENGLAND: DIRISHA la usajili wa majira ya kiangazi huko Ulaya limefungwa rasmi, ambapo klabu mbalimbali hasa za Ligi Kuu England zilikuwa bize kwelikweli kusajili mastaa wapya kwenye...
Fenerbahce mguu sawa kumnasa Ederson FENERBAHCE wako kwenye hatua za mwisho za kumsajili kipa wa Manchester City, Ederson, 32, dirisha hili.
Garnacho atupa kijembe Man United STAA Alejandro Garnacho amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kujiunga na Chelsea akijaribu kuwaambia Manchester United kile ambacho watakosa baada ya kutua zake Stamford Bridge.
Mourinho: Kocha anayetajirika kwa kufukuzwa kazi MWISHONI mwa wiki iiyopita moja ya stori kubwa ilikuwa ni kufukuzwa Kocha Jose Mourinho kufukuzwa na Fenerbahce ya Uturuki baada ya kutolewa hatua za awali za Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Man United yarudi Aston Villa kumchomoa Martinez MAKOSA yaliyoonyeshwa na makipa wawili wa Manchester United, Andre Onana na Altay Bayindir hivi karibuni, yamesababisha mabosi wa mashetani hao wekundu kurudi kubisha hodo Aston Villa kabla...
Jackson anuna, Bayern Munich yafunguka NYOTA wa Chelsea na timu ya taifa ya Senegal, Nicolas Jackson, ameripotiwa kuchukizwa vibaya na kuvunjika kwa mpango wake wa kujiunga na Bayern Munich kwa mkopo, licha ya kuwa tayari alishatua...
Howe atoa msimamo kwa Isak, saa zikizidi kukatika KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe bado hana uhakika juu ya mustakabali wa straika wa klabu hiyo Alexander Isak na ameweka wazi kuwa anaweza akarejea katika kikosi tena.
PRIME Sowah, Camara wana siku 18 ngumu Simba KIKOSI cha Simba kinarudi tena katika kambi ya mazoezi kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni saa chache tangu irejee kutoka kambini jijini Cairo, Misri ilikokuwa kwa muda wa mwezi mmoja ikijifua na...