Kipa aanguka na kufa akiokoa penalti Kipa Antonio Edson dos Santos Sousa wa timu ya Sind Motos ameanguka na kufa muda mfupi baada ya kuokoa penalti katika tukio ambalo limewaacha mashabiki vinywa wazi.
Mabosi Crystal Palace wamuweka ‘mtu kati’ Guehi MWENYEKITI wa Crystal Palace, Steve Parish, amefanya mazungumzo ya ana kwa ana na beki wa kimataifa wa England Marc Guehi, 25, pamoja na familia yake baada ya kuzuia uhamisho wake wa kujiunga na...
Cunha awashusha presha Man United STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amesema atakuwa fiti na kurejea uwanjani hivi karibuni baada ya kushindwa kuendelea na mchezo kwenye ushindi dhidi ya Burnley katika mchakamchaka wa...
Ten Hag kapiga Euro 100,000 kwa siku KOCHA, Erik ten Hag ameigharimu Bayer Leverkusen mkwanja mrefu, Euro 100,000 kwa kila siku aliyokuwa akifanya kazi katika klabu hiyo ya Bundesliga, imeelezwa.
Messi aacha utata Argentina, akisaidia ushindi wa 3-0 Lionel Messi usiku wa kuamkia leo ameiongoza Argentina kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 nyumbani dhidi ya Venezuela lakini baada ya hapo akatoa kauli inayoonekana kama ni ya kuwaaga kwa mara ya...
Chelsea imemfanyia hili Sterling BAADA ya kushindwa kupata timu dirisha lililopita la majira ya kiangazi, winga wa Chelsea na England Raheem Sterling anatarajiwa kukaa nje na kufanya mazoezi ya peke yake hadi Januari na...
Partey mahakamani wiki ijayo KIUNGO wa Villlarreal na timu ya taifa ya Ghana, Thomas Partey anatakiwa kufika mahakamani kwa mashtaka ya ubakaji Septemba 15, siku moja kabla ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya...
Mzigo wa usajili EPL ni kufuru KLABU za Ligi Kuu England zimetumia karibu theluthi moja ya matumizi yote ya kimataifa ya usajili wa wachezaji dirisha hili la majira ya kiangazi.
Taifa Stars mzigoni tena BAADA ya kumaliza kazi kwenye Fainali za CHAN 2024 zilizoandaliwa kwa ushirikiano wa Tanzania, Kenya na Uganda, kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars usiku wa leo kitakuwa kibaruani ugenini...
Matajiri Saudi Arabia wanamtaka Andre Onana MANCHESTER United iko tayari kumruhusu kipa wake wa kimataifa wa Cameroon, Andre Onana, 29, kujiunga na klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia katika dirisha hili la majira ya kiangazi.