Ronaldo azidi kuikimbizia rekodi ya mabao STAA wa Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ameendelea kuikimbizia rekodi ya kufikisha idadi ya kufunga mabao 1000 ya michuano rasmi baada ya kuongeza katika mchezo wa kufuzu...
Kiungo Baleba bado anaitaka Man United STAA wa Brighton, Carlos Baleba ameripotiwa yupo tayari kujiunga na Manchester United licha ya uhamisho wake kukwama kwenye dirisha lililopita la majira ya kiangazi.
Mikel Arteta awashusha presha mashabiki Arsenal ARSENAL, hakuna matata. Ndicho unachoweza kusema baada ya Kocha Mikel Arteta kuwa na kikosi matata kabisa licha ya mastaa wake kadhaa muhimu kuwa majeruhi.
Taifa Stars mambo yake ni magumu Taifa Stars imepoteza matumaini ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026, baada ya kulala kwa bao 1-0 dhidi ya Niger kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Upamecano atua anga za Real Madrid, mchongo upo hivi REAL Madrid inapanga kumsajili beki kisiki wa kimataifa wa Ufaransa, Dayot Upamecano, 26, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake na Bayern Munich.
Stori tamu ya Ronaldo, Szoboszlai wakichuana leo KUDUMU muda mrefu kwenye soka la kiwango cha juu kumemfanya Cristiano Ronaldo kuandikisha rekodi za kipekee kabisa katika mchezo huo wenye mashabiki wengi duniani.
Postecoglou kumrithi Nuno Forest ANGE Postecoglou anajiandaa kuwa kocha mpya wa Nottingham Forest baada ya kufutwa kazi Nuno Espirito Santo.
Rio kicheko kipa Onana kuondoka BEKI wa zamani, Rio Ferdinand amefurahia kitendo cha Manchester United kumfungulia mlango wa kutokea kipa Andre Onana akidai msimu uliompita alimweka kwenye wakati mgumu sana.
Taifa Stars, Niger zapishana dakika tano Zanzibar Timu za taifa za Tanzania ‘Taifa Stars’ na Niger zimepishana kwa dakika tano katika uingiaji wa kwenye eneo la kuchezea la Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kwa ajili ya kupasha miili joto.