Simba yaibukia kwa Mfaransa Miamba hiyo ya Tanzania inasaka kocha mwingine wa kiwango cha juu baada ya kumtimua Joseph Omog
Jaydee aja na Jide Silver miaka 25 ndani ya gemu Katika maadhimisho hayo, yaliyopewa jina la Jide Silver, mwimbaji huyo ataanza kwa kuijengea jamii ufahamu juu ya ugonjwa wa saratani akishirikiana na Hospitali ya Ocean Road, siku ya Juni 9.
Man United, Osimhen ni suala la muda IMEFICHUKA. Ripoti zinadai kuna uwezekano mkubwa straika wa Napoli anayecheza kwa mkopo Galatasaray, Victor Osimhen akacheza Manchester United msimu ujao baada ya kukubaliana na miamba hiyo ya...
Gyokeres, Arsenal jambo limeiva NDO hivyo. Arsenal imefikia patamu kwenye mazungumzo ya kumnasa straika wa mabao, Viktor Gyokeres baada ya kuamua kumchukua mkali huyo wa Sweden badala ya Benjamin Sesko.
Aguero azua jambo kwa mwamuzi Allin-Khan naye aliuliza: “Hivi Aguero anadhani yeye ni nani? Hili halikubaliki.” Wakati huo huo, mwandishi wa soka, Leanne Prescott alisema: “Aguero kugusa shingo ya Sian Massey ni tukio...
Eto'o anusurika kifo ajalini NKONGSAMBA, CAMEROON. STAA wa zamani wa Barcelona na Cameroon, Samuel Eto'o amelazwa hospitali baada ya kupata majeruhi kichwani kufutia ajali ya gari iliyotokea kwao Cameroon, imeripotiwa.
Mayanga ateswa na ushindi Prisons Sumbawanga. Kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Salum Mayanga amesema bado haridhishwi na ushindi mwembemba ambao timu hiyo inaupata katika michezo ya Ligi Kuu Bara, hivyo atatumia mapumziko ya...
Oyaa wajumbe! Kwani Wolper anatuchukuliaje? Hadi kufikia leo imetimia siku ya 5 tangu bosi wa lebo ya Konde Gang, Harmonize atoboe siri ya kwanini aliachana na aliyekuwa ‘My’ wake, mbongo movie Jackline Wolper; hiyo ni sawa na kusema hadi...
Gift Macha aula soka la ufukweni MWANDISHI wa habari wa zamani wa gazeti la Mwanaspoti, Gift Macha ameteuliwa kuingia katika Kamati ya Habari na Mawasiliano ya Chama cha Soka la Ufukweni Afrika (ABSU), uteuzi uliofanyika...
Ronaldo akana kumtukana Messi JOTO la upinzani kati ya staa wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na nyota wa Barcelona, Lionel Messi sasa linaingia katika uhasama baada ya kudaiwa kuwa Ronaldo amekuwa akimtukana Messi pindi...