Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Simba yaanza na sare Morocco

Kikosi cha Simba leo kimecheza mechi ya kwanza ya kirafiki dhidi ya AS FAR Rabat ya nchini humo na kumaliza kwa sare ya mabao 2-2.

Simba ilipanga kucheza mechi tatu za majaribio katika kambi yao na tayari ya kwanza imemalizika kwa sare huku winga mpya Pape Ousmane Sakho akifungua kibubu cha mabao kwa Wekundu wa Msimbazi.

Kipindi cha kwanza kilimalizika kwa Simba kuwa nyuma kwa mabao mawili na baada ya kurudi kipindi cha pili Hassan Dilunga alitupia bao moja na Sakho kumalizia la pili.

Rabat inanolewa na aliyekuwa kocha wa Simba, Sven Vandenbroeck ambaye aliondoka na nafasi yake kuchukua Didier Gomes.