Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Carlinhos, Fiston wapewa rungu Yanga

KOCHA Cedric Kaze hataki tena kukatwa stimu na mashabiki na amepania kesho kuliingiza jeshi lake likiwa na sura nyingine kwa kuamua kuwaanzisha kwa pamoja, Fiston Abdulrazack na Carlinhos, huku Yacouba Songne akitarajiwa kurejea uwanjani baada ya kukosekana muda mrefu.

Kuna uwezekano mkubwa kocha huyo akabadilisha jeshi lake litakapovaana na Ken Gold (zamani Gipco) katika mchezo wa Kombe la Shirikisho (ASFC) kesho Jumamosi, huku akiwapigisha tizi vijana wake kama wanaenda kucheza mechi ya fainali kuonyesha hataki tena lawama na mtu.

Soma zaidi hapa: www.egazeti.co.tz