Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

#LIVE: Ibada mazishi ya Magufuli

#LIVE: Ibada mazishi ya Magufuli

Muktasari:

  • Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo ataongoza viongozi wa Serikali, majeshi ya ulinzi na usalama, vyama vya siasa, dini na wananchi wa mkoa wa Geita katika mazishi ya hayati John Magufuli, atakayezikwa katika kijiji cha Mlimani wilayani Chato.

Chato. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo ataongoza viongozi wa Serikali, majeshi ya ulinzi na usalama, vyama vya siasa, dini na wananchi wa mkoa wa Geita katika mazishi ya hayati John Magufuli, atakayezikwa katika kijiji cha Mlimani wilayani Chato.

Kifo cha Magufuli kilitokea saa 12.00 jioni, Machi 17, mwaka huu katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam baada ya kusumbuliwa na maradhi ya moyo.