PRIME TUMIA HELA! Mkwanja ulivyotumika kunasa vifaa vipya, Big Six balaa zito Baada ya kuanza msimu vibaya kwenye historia yake ya ukocha ikiwamo kukumbana na vichapo vitano mfululizo kabla ya kufanya hovyo tena dhidi ya Feyenoord.
PRIME Mo Dewji agoma kutoa pesa za usajili Simba, atoa masharti haya TAJIRI amemwaga mboga. Mwekezaji wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji amesitisha kutoa fedha za usajili na huduma nyingine kwa timu hadi pale wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo...
Pisi kali za ulingoni DUNIA imejaa warembo kibao wanaotwanga makonde kama Natasha Jonas, Amanda Serrano au yule Claresaa Shield na ukiwakuta nje ya ulingo katika mitoko yao mingine, katu huwezi kukubali kama hao ni...
Mwisho wa ubishi CAFCL Pretoria, Afrika Kusini. Mechi za pili za Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya nusu fainali zinapigwa leo kwenye viwanja viwili tofauti, hadi saa sita usiku timu zitakazokwenda fainali zitakuwa...
Picha nzima Benchikha kusepa Simba ilianzia hapa Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo yanatia...
Sababu saba mtifuano wa Simba, Coastal Simba wakaingia mtandaoni na kumtambulisha mchezaji kama ni wa kwao Coastal Union wakabisha, bonge moja la sinema.
PRIME RIPOTI MAALUMU: Hali ya viwanja kabla na baada ya AFCON -3 VIWANJA ni miongoni mwa mahitaji makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf) katika kutoa haki za uenyeji wa fainali za mataifa ya Afrika (Afcon).
Kagame 2024: Mwisho wa ubishi, ni APR au Red Arrows! FAINALI za 47 za michuano ya Klabu Bingwa kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame 2024 inafikia tamati leo Jumapili.
PRIME SOKONI KUBAYA: Mbappe, Osimhen hawachekani ishu ya thamani zao kushuka maradufu MAISHA yanakwenda kasi si mchezo. Na muda umekuwa na thamani kubwa kwenye soko la wanasoka duniani na kuna wengine mambo yao yanakuwa matamu kwa maana ya thamani zao kupanda huku wengine...
LAZIMA KIELEWEKE! Makinda saba waliopandishwa kuokoa jahazi Manchester United MANCHESTER United ya majanga ilikosa mastaa wake 12 wa kikosi cha kwanza kwenye mechi ya kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Tottenham Hotspur, Jumapili iliyopita.