Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9139 results for Mwandishi :

  1. Hii ndo DR Congo ya Fiston Mayele Kombe la Dunia

    DR Congo ambayo ina mchezaji aliyewahi kutamba Ligi Kuu Bara, Fiston Mayele akiwa na Yanga ni moja ya timu zenye hadhi kubwa katika soka la Afrika, ikiwa na utambulisho uliojengwa kwa miongo mingi.

    DR CONGO Pict
  2. Nje ya soka fani zao zingine ni hizi!

    UNAWAJUA vyema uwanjani. Unaijua kazi yao wanaposakata soka wakiwa katika jezi za timu kubwa duniani Ulaya. Unawafahamu kwa majina na wakati mwingine unavaa jezi zenye majina na namba wanazovaa...

  3. Simba wa Teranga mguu sawa marekani

    BAADA ya Morocco kuweka historia ya kufika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar, taifa jingine ambalo linaendelea kubeba matumaini Afrika kuelekea fainali za Kombe la Dunia 2026 huko...

    SENAGAL Pict
  4. Mastaa saba wanaoweza kuamua dabi Soweto

    ORLANDO Pirates wanawakaribisha watani zao wa jadi, Kaizer Chiefs katika dabi ya 182 ya Soweto itakayochezwa leo katika Uwanja wa FNB.

  5. PRIME Hohehahe hawezi kumvaa Perez urais Real Madrid

    Soma zaidi hapa

    ZENGWE Pict
  6. Canada kusaka ushindi wa kwanza Kombe la Dunia

    NYOTA wa Bayern Munich, Alphonso Davies amejumuishwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 26 wa timu ya taifa ya Canada kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026, licha ya kuwa bado anaendelea...

    CANADA Pict
  7. Walipo mastaa Arsenal waliocheza fainali Ulaya miaka 20 iliyopita

    JUMAMOSI iliyopita Arsenal ilishindwa kubeba ubingwa wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kupoteza kwa penalti 4-3 dhidi ya PSG katika Uwanja wa Puskas uliopo Budapest, Hungary. Timu...

    ARSENAL Pict
  8. Kombe la Dunia 2026, sherehe tatu za ufunguzi zitakazoandika historia

    KOMBE la Dunia la FIFA 2026 linatarajiwa kuwa moja ya matukio makubwa zaidi ya michezo kuwahi kushuhudiwa duniani, sio tu kwa ukubwa wake wa kimashindano bali pia kwa namna litakavyopangiliwa.

    UFUNGUZI Pict
  9. Chicharito aitaka Mexico kuanza kwa kishindo Kombe la Dunia 2026

    MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Mexico, Javier ‘Chicharito’ Hernandez anaamini Mexico inaweza kufanya vizuri katika Kombe la Dunia 2026, lakini jambo muhimu zaidi ni kuanza mashindano...

    MEXICO Pict
  10. Japan wanapeleka ujuzi wa mbio, chenga Marekani

    JAPAN ni miongoni mwa mataifa 48 ambayo yatakuwa katika ardhi ya Amerika Kaskazini mwezi ujao kwenye fainali za Kombe la Dunia, likipeleka wakali wake wengi wenye ujuzi wa kuwatoka wapinzani wao...

    JAPAN Pict
Previous

Page 863 of 914

Next