Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9138 results for Mwandishi :

  1. MTU WA MPIRA: Ajibu amepiga hatua moja mbele, kumi nyuma

    IBRAHIM Ajibu. Kipaji kikubwa cha soka katika zama hizi. Fundi haswa. Ukimtazama anakufanya uone soka ni kazi rahisi sana. Wakati anachipukia pale Simba watu walimtabiria makubwa. Alitazamiwa...

  2. MTU WA MPIRA: Nabi ni kocha bora zaidi kuwahi kutokea Yanga?

    YANGA ipo kwenye kilele cha mafanikio. Imebeba taji la Ligi Kuu Bara ikiwa na michezo miwili mkononi. Imebeba taji hilo kwa mara ya pili mfululizo. Hilo ni taji la 29 kwa timu hiyo tangu ligi...

  3. MTU WA MPIRA: Bado hatuamini soka letu limepiga hatua kubwa Afrika?

    SOKA letu limepiga hatua sana hasa katika ngazi ya klabu. Inafurahisha kuziona Simba na Yanga kwenye hatua ya makundi ya michuano ya CAF. Tumepiga hatua. Ilikuwa nadra sana kuziona timu za...

  4. MUBIRU: Kocha wa mataji anayezitaka Simba, Yanga

    PAMOJA na kutozungumzwa sana, lakini Kocha Mkuu wa Mbeya City, Mubiru Abdallah ni miongoni mwa makocha wenye uwezo na ubora katika kufundisha soka kwa mbinu zenye manufaa.

  5. MTU WA MPIRA: Azam FC ina shida gani?

    GHAFLA sana Azam FC imeondoka kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Ghafla sana wakati ndio kwanza mambo yameanza kuchanganya. Azam imeondoka kwenye mbio za ubingwa mapema kuliko ilivyotarajiwa.

  6. MTU WA MPIRA: Sakata la Feisal tunajitekenya na kucheka wenyewe

    ACHANA na zile propaganda za mama yake Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwamba Fei alikuwa akila ugali kwa sukari pale Yanga. Ni propaganda za ajabu hivi. Sijui ni nani alimwongopea mama yale maneno.

  7. Mo Salah, Kane watakavyochuana kubadili msimamo wa vinara wa mabao

    SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah amepanda kwa kasi kwenye orodha ya vinara wa mabao wa muda wote kwenye Ligi Kuu England, shukrani kwa kasi yake ya kutupia nyavuni karibu katika kila mechi...

  8. PRIME Yanga yashtukia jambo usajili wa mastaa, yaweka akili mpya

    TAKRIBANI siku 15 zimekatika tangu kufunguliwa kwa dirisha la usajili hapa nchini, mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC wameshtukia jambo na kuamua kuchukua hatua za...

    USAJILI Pict
  9. PRIME Mo Dewji amechafua hali ya hewa

    KWA mara nyingine mwekezaji wa Simba, Mohamed ‘MO’ Dewji ameibuka tena kuzungumzia ufadhili kwa klabu hiyo kongwe, akisema katika kipindi cha kuanzia mwaka 2017 ameshatoa zaidi ya Sh80 bilioni...

  10. Madrid, Liverpool yafungua mazungumzo dili la Rodrygo

    LIVERPOOL wamefanya mazungumzo ya awali na Real Madrid kuhusu winga wa klabu hiyo na timu ya taifa ya Brazil Rodrygo, mwenye umri wa miaka 24. Mabosi wa Liverpool wanamwangalia fundi huyu kama...

    FUNUNU Pict
Previous

Page 857 of 914

Next