MTU WA MPIRA: Hata Fei Toto hakutegemea yangetokea haya! NCHI ina Rais mmoja tu. Ni Samia Suluhu Hassan. Ndiye mwakilishi wa muumba wa ulimwengu hapa Tanzania. Tunamuombea maisha marefu. Ni Rais wa kwanza Mwanamke kuwahi kutokea nchini hakuna...
Simba yatua kwa Nabi, mwanaye afichua siri SIMBA imeanza msako wa kutafuta kocha kwa kasi wa kumrithi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Roberto Oliveira ‘Robertinho.’ Na habari zinashtua mtaa wa pili, yaani kule Jangwani ni kwamba mabosi wa timu...
Ukame hat trick...Ni ubora wa mabeki au udhaifu wa mastraika LIGI Kuu Bara msimu wa 2021-2022 imesaliwa na mechi za raundi tano tu kabla ya kufikia tamati, huku Yanga ikiwa hatua chache kabla ya kutawazwa kuwa mabingwa.
Wachezaji Simba kufanyiwa kufuru, maajabu makubwa yaja Dar MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ ameweka wazi atawekeza mamilioni ya pesa katika kikosi hicho kinachopigania heshima ya Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa...
Miaka 22 ya unyonge kwa makocha wazawa! SIO ajabu, huko mitaani mara nyingi mmewahi kukutana na mabango hayo. Mabango yanayotundikwa na kubandikwa katika maeneo tofauti, lakini vyote vikitangaza biashara ya aina moja. Ni kama vile...
MZEE WA UPUPU: Kwa kauli hizi za Wanasiasa ipo kazi NILIWAHI kuandika hapa kwenye gazeti la Juni 2020 kwenye makala iliyokuwa na kichwa cha habari cha HEKIMA YA KARIA NA KIBRI CHA NDOLANGA. Nilikuwa najadili matukio ya wanasiasa wa Tanzania...
Tizi la Simba Morocco hadi raha RABAT, MOROCCO. MABOSI wa Simba jana waliwasapraizi mashabiki wao kwa kumtambulisha mrithi wa Luis Miquissone, huku kambi yao iliyopo Rabat imenoga baada ya msafara wa pili wa timu hiyo akiwamo...
Miaka mitano ya kibabe ya Sportpesa Tanzania KAMA utani vile. Kampuni ya Michezo na Burudani ya Sportpesa, leo inaadhimisha miaka mitano tangu kuanza shughuli zake za michezo ya kubashiri nchini Tanzania.
Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu ugonjwa wa kipindupindu KLABU kongwe ya Yanga kwa kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF), Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kupitia Ofisi ya Afya ya Mkoa kwa pamoja wameungana kwa pamoja kutoa...
PRIME Simba yakaribia kukamilisha usajili wa Ngoma Dar es Salaam. Simba inakaribia kukamilisha usajili wa nyota wa Al Hilal ya Sudan, Fabrice Luamba Ngoma kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa mashindano...