Uhondo wa Kombe la Dunia la Klabu upo hivi FAINALI za Fifa za Kombe la Dunia la Klabu 2025 ni michuano ya 21, lakini safari hii itafanyika kwa mtindo tofauti kama ilivyokuwa kwenye mikikimikiki ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu...
WAKO POA! Kutoka mchangani hadi kuubonda mwingi Ligi Kuu England UMEONA zile sevu za David Raya anazofanya pale Arsenal? Au vile anavyofanya Ollie Watkins kuwakimbiza mabeki wa timu pinzani kwenye mechi za Ligi Kuu England akiwa na kikosi chake cha Aston Villa?
PRIME PUMZI YA MOTO: Japo FIFA inataka Saa 72 za mapumziko, kwa Ligi Kuu Bara tunahitaji muda zaidi LIGI Kuu Bara inazidi kukua kila uchao lakini bahati mbaya sana uendeshaji wake haukui au unarudi nyuma.
PRIME Simba kuwa ya nne Afrika ni udhaifu CAF, kama ilivyokuwa FIFA, Jamhuri Ya Czech 2006 KUELEKEA Kombe la Dunia 2006, Shirikisho la soka la Kimataifa, FIFA, lilitoa orodha ya viwango vya ubora wa kila nchi duniani.
Usajili wa mastrika utatikisa NI kitu cha wazi kabisa, Arsenal itakuwa bize kwelikweli kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi kusaka straika mpya wa kuja kuwapigia mabao msimu ujao.
Jahazi la Ruvu lazidi kuzama MAJANGA yamezidi kuiandama Ruvu Shooting, baada ya jahazi la timu hiyo kuzama tena juzi licha ya kuwa nyumbani mjini Iringa kwa kufungwa mabao 2-1 na Stand United na kuweka mguu mmoja wa kushuka...
Siku ile ‘Golo’ alipoingia jamatini YAPO mambo siwezi kuyasahau katika maisha yangu ya zaidi ya miaka 50 ya uandishi wa habari kuanzia nilipokaribia kumaliza masomo shule ya msingi.
Raha ya ngoma ujue mapigo yake! YAPO mambo siwezi kuyasahau katika maisha yangu ya zaidi ya miaka 50 ya uandishi wa habari kuanzia nilipokaribia kumaliza masomo Shule ya Msingi.
Harusi ya Okwi imenogaje!!!a JUZI Jumamosi Jiji la Kampala lilisimama kwa muda kutokana na shamrashamra zilizoanikiza harusi ya mshambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Okwi alipoamua kuikacha klabu ya ukapera kwa kufunga ndoa...
Usaili TFF, Mgeusa, Mniga kutoka jasho PANGA jingine linalosubiriwa kwa hamu na wadau wa soka ni usaili wa wagombea, hasa wale watatu wanaowania nafasi ya juu katika uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).