Chama huyoo mdogo mdogo Simba KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama amezidi kuimarisha namba zake katika Ligi Kuu Bara baada ya juzi usiku kufunga mabao mawili yaliyoizamisha Mashujaa kwa mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam...
Simba vs Mashujaa ni boli na pointi tatu Kikosi cha Simba kikiwa chini ya Kocha Abdelhak Benchikha kinarejea tena uwanjani leo katika pambano la Ligi Kuu ikiikaribisha Mashujaa kwenye Uwanja wa Azam Complex, ikisaka ushindi wa mechi ya...
Kutoka kambi ya Azam FC... Mchezaji mpya aikataa namba ya mikosi ILITOKEA kule Zanzibar pale Azam FC ilipomtambulisha Franklin Navarro kwenye dirisha dogo.
MZEE WA UPUPU: Haikuwezekana Okwi, labda kwa Sakho MSIMU wa 2011/2012, mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi aling’ara sana tangu alipotua Tanzania mwaka 2009. Alimaliza Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 12 yaliyoambatana na kiwango cha juu kwenye...
HISIA ZANGU: Kilichokosewa kati ya Abubakar Salum na Salum Abubakar MAISHA ya Abubakar Salum ‘Sure Boy’ yalikuwa ya kusisimua. Alikuwa staa mkubwa pale Jangwani. Mfupi, ana kasi, ana chenga. Watu wa Jangwani wakamuita Sure Boy. Alikuwa winga tisho kwelikweli.
Allan Shomari: Beki kitasa aliyepata upofu kama utani WAKATI mwingine maisha huwa na mitihani mingi ambayo kama si Mcha Mungu na anayeamini katika dini, ni rahisi kuingia kwenye kufuru.
Taifa Stars kujiuliza kwa Harambee Stars TIMU ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo itakuwa na jukumu moja la kuhakikisha inapata ushindi kwenye mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kenya kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini...
UCHAMBUZI: Raiola na bidhaa yake katika mfuko wa Rambo ALHAMISI asubuhi, abiria wawili walishuka katika Uwanja wa Ndege wa EL Prat pale Barcelona. Walishuka katika ndege ya kukodi ambayo iliendelea kuwasubiri katika uwanja wa ndege. Wakaondoka zao...
Pluijm alivyoishi miezi sita Yanga ALIYEKUWA Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amebakiza wiki moja kuanza kibarua chake kipya katika klabu ya Al Sholah ya Saudi Arabia ambayo ilikuwa inamwinda kwa zaidi ya miezi sita.
Terry alivyorithi tabia mbovu za wazazi wake JOHN Terry anapokea mshahara wa Pauni 150,00 kwa wiki, lakini juzi baba yake ameshindwa kuajiri wakili wa kumtetea kwa gharama za Pauni 340 tu. Hizi zote ni laana za familia yake ambayo imeoza...