Mastaa Simba wafunguka Mo Dewji kuwa-unfollow BILIONEA wa klabu ya Simba, Mohamed 'MO' Dewji amewachenjia mastaa, makocha na viongozi wa klabu hiyo kwa kuamua kuacha kuwafuatilia (unfollow) kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii. Mo Dewji...
Mabosi Simba waapa sasa ni mwendo wa kugawa dozi SIMBA haina matokeo mazuri katika mechi zake tatu za Ligi Kuu Bara ingawa wikiendi iliyopita walirejesha ubabe wao nyumbani wakiipasua Dar City na kudhihirisha bado jamaa wana utamu wao. Kama...
Hawa sio wa kuwakosa katika Tamasha la Sauti za Busara 2022 Tamasha la Sauti za Busara kwa miongo miwili iliyopita limekuwa na rekodi ya kuvutia ya kuonyesha vipaji vya baadhi ya wanamuziki wa Afrika katika tamasha hilo la kila mwaka ambalo limekuwa...
HISIA ZANGU: Albadiri ya Tanga na usela wa Djuma Shaban kujaribu kuturudishia matukio ambayo wachezaji wa wapinzani wao waliwahi kufanya huko nyuma. Na hata wapinzani wao nao wakawa wanarudishia matukio ambayo wachezaji wa wapinzani wao waliwahi...
Azam FC ni Manchester City ya ajabu MWANAMAMA mmoja raia wa Uingereza, Amanda Staveley anatajwa kuwa mwanamke hatari zaidi katika Ulimwengu wa soka, ambapo mwaka 2008 alisimamia dili la kuiuza Manchester City kutoka kwa tajiri wa...
Refa Ikambi, Simba na Yanga kulikoni! Simba inaomboleza msiba wa kipigo chao cha kwanza msimu huu katika Ligi Kuu Bara lakini mwamuzi aliyechezesha mechi hiyo ameweka rekodi ya pili katika kuchezesha mechi za maumivu katika klabu...
Mechi 7 za ubingwa Yanga hizi hapa . Tumejipanga na nina imani tutafanya vizuri,” alisema Mazingisa. Nahodha wa Yanga, Bakari Mwamnyeto alisema kuwa mechi zote wanazipa uzito mkubwa na wamejipanga kuhakikisha wanapata ushindi.
Mukoko aigomea Yanga, GSM aingilia kati DILI la kiungo na nahodha msaidizi wa Yanga, Mukoko Tonombe kwenda TP Mazembe ya DR Congo, limekufa baada ya nyota huyo kugoma kutolewa kwa mkopo katika klabu hiyo, huku bilionea wa klabu hiyo...
Tamasha la Sauti za Busara 2022 kupaza sauti za wanawake Zimebakia wiki tano kabla ya kuanza kwa Tamasha la 19 la Sauti za Busara, huku mashabiki duniani kote wakisubiri kukutana katika eneo moja la aina yake, ambapo muziki wa Kiafrika unakuwa ukikonga...
Chama apokelewa kimafia Bongo WAKATI Mashabiki wengi wa Simba wakiwa nje ya Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dar es Salaam kumsubiri nyota wao mpya Mzambia, Clatous Chama awasili, viongozi wa timu hiyo...