Waamuzi walioboronga Simba, Yanga wala umeme BAADA ya malalamiko mitandaoni kuhusu waamuzi kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara waamuzi wa mechi za mbili za Yanga, Simba wamepigwa umeme. Mwamuzi wa...
Manara, Bumbuli wapigwa faini Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli na msemaji wa klabu hiyo Haji Manara wamepigwa faini ya Sh500,000 kila mmoja na kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania...
Mo Dewji alipa mishahara Simba ili waiue Asec RAIS wa heshima wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ juzi aliwamwagia mkwanja wachezaji wa kikosi hicho mchana wa Jumatano alipowatembelea kambini kwao. Bilionea huyo baada ya kikao cha dakika...
Wachezaji Simba waapa kubwa ya kuanza Jumapili kama kiungo mkabaji anasema; “Unajua suala la kuondolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu wachezaji wote tulikuwa na hasira na kuambiana huku kwenye Shirikisho...
Krosi za mabao zimerudi Yanga KIWANGO cha Yanga dhidi ya Mbeya City kimemkera Kocha Nasreddine Nabi, lakini akasisitiza kwamba baada ya mechi yao na Biashara wana jambo lao. Kocha huyo ambaye tangu juzi amewarejeshea mastaa...
Wazito FC waachilia majembe sita Siku moja tu baada ya dirisha Dogo la uhamisho la Ligi Kuu ya FKFPL kufungwa ,Wazito Fc kupitia kurasa zao za kijamii wametangaza rasmi kuondoka kwa wachezaji Sita kwenye timu Hiyo. Timu Hiyo...
KMKM yapoteza mechi ya kwanza PEMBA. MABAO mawili yaliyofungwa kila moja katika kipindi yameizamisha KMKM kwa mara ya kwanza katika Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) baada ya jana kuonyolewa na Mafunzo kwenye Uwanja wa Gombani...
Mkataba wa Morrison Yanga kufuru, Simba waitana Mkataba wa Morrison ndani ya Simba umesaliwa muda usiozidi miezi mitatu na mabosi wa klabu hiyo wamemsimamisha kwa kudaiwa kutoroka kambini kwa kuruka ukuta, pamoja na kufanya vituko vingine...
Miaka 20 ya utawala wa Wakongo Ligi Kuu KUANZIA mwaka 2002 hadi sasa, kumekuwa na utitiri wa wachezaji kutoka DR Congo ambao wamekuwa wakija nchini kuzitumikia timu mbalimbali za Ligi Kuu na hata zile za Ligi Daraja la Kwanza.
Morrison arudi Yanga, apewa mshahara wa Chama UNAWEZA ukashangaa na kujiuliza maswali mengi, lakini ndio ukweli.Siku zinahesabika kabla ya Bernard Morrison ‘BM3’ kurejea Jangwani, klabu aliyokuwa akiichezea misimu miwili iliyopita kabla ya...