Yanga Mwendo mdundo! WABABE wa soka nchini, Yanga usiku wa jana ilikuwa visiwani Zanzibar kumalizana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku ikiwa na rekodi...
PRIME Simba, Yanga bado dakika 270 Kibarua walichonacho wakongwe hao kila mmoja ni katika kuwania pointi tisa zinazopatikana katika mechi tatu zijazo za Ligi Kuu Bara kabla ya kufika Oktoba 19 mwaka huu ambapo watakutana wenyewe...
PRIME Fadlu Davids aweka mtego Ligi Kuu Bara SIMBA waliitaka mechi ya leo dhidi ya Pamba Jiji na wamepatiwa baada ya hapo awali Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuitoa katika tarehe iliyopangwa ili kuipa nafasi zaidi timu hiyo kujiandaa na...
NIONAVYO: Tunajua kushiriki, sasa tujifunze kushindana Afcon Haikuwa wiki nzuri kwa Dar Es Salaam na Tanzania kwa jumla kutokana na vifo vya makumi ya wenzetu waliofukiwa na jengo lililoporomoka Kariakoo.
PRIME Waliopewa uraia Singida BS kujua hatma yao kesho, TFF wafunguka HATMA ya nyota watatu wa Singida Black Stars wanaodaiwa kubadili uraia ili kuwa Watanzania Josephat Arthur Bada, Emmanuel Keyekeh na Mohammed Domaro Camara inatarajiwa kufahamika baada ya kikao...
NIONAVYO: Stars ina kibarua kizito Afcon 2025 Morocco KIPYENGA cha kuanza mashindano ya mataifa ya Afrika (Afcon) kwa mwaka 2025 kilipulizwa mwanzoni mwa wiki hii jijini Rabat, Morocco.
PRIME Vurugu, uharibifu vinavyoziweka matatani Simba, Sfaxien MATUKIO ya vurugu na uharibifu wa viti kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar yaliyotokea juzi Jumapili katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika iliyowakutanisha Simba na CS Sfaxien ya Tunisia...
Viktor Gyokeres anaitaka Arsenal, Chelsea yatoa macho CHELSEA inavutiwa kumsajili mshambuliaji wa Sporting, Viktor Gyokeres, mwenye umri wa miaka 26, lakini staa huyo wa kimataifa wa Sweden anapendelea kutua kwa mahasimu wa London, Arsenal.
PRIME PUMZI YA MOTO: Simba na Mashujaa hazijawahi kutuangusha HEBU tumuweke pembeni kidogo Kefa Kayombo na msaidizi wake namba moja, Neema Wilson Mwambashi walioamua mechi ya Simba na Mashujaa, Mei 2, 2025
Kompany alivyomaliza gundu la Harry Kane MAKOCHA kibao walijaribu. Na wote walishindwa. Lakini, Vincent Kompany alifanikiwa kufanya kitu kilichowashinda magwiji kama Mauricio Pochettino, Jose Mourinho, Antonio Conte na Gareth Southgate...