Konkoni aichomoa Simba kimataifa STRAIKA Hafiz Konkoni anayejiandaa kuondoka nchini kwenda kujiunga na timu ya Dogan Tûrk Birligi ya Cyprus kwa mkopo hadi mwisho wa msimu akitokea Yanga, amefichua kwamba, anawaona mabingwa hao...
Simba, Yanga haina kufeli hadi kieleweke CAF MICHUANO ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, imeanza wikiendi iliyopita kwa wawakilishi wa Tanzania, Yanga na Simba wakitupa karata zao za kwanza kwenye viwanja viwili tofauti. Yanga ilikuwa...
Nabi ana dawa ya Okrah, matajiri Yanga watua kambini YANGA ikiwa na sura nyingi mpya, imefanya kikao na mastaa wao chini ya kocha Nasreddine Nabi ambaye ametamka kwamba; “Wamenielewa.” Nabi katika kikao hicho kilichotumia dakika 15 amewakumbusha...
Hapa kuna vita nzito! NAMBA hazidanganyi hata kidogo! Angalia kikosi kipya cha Simba, kisha angalia maingizo mapya katika eneo la mbele ndio utajua Msimbazi msimu huu wamepania maradufu.
Robertinho: Waleteni hao Yanga KIKOSI cha Simba jana kilikuwa Uwanja wa Highland Estate kuvaana na Ihefu katika mechi ya Ligi Kuu Bara na kuichapa mabao 2-0, ikiwa ni siku chache tangu iliichape mabao 5-1 kwenye robo fainali...
Simba yavuna Sh1.1 bilioni msimu huu SIMBA imeshindwa kutimiza malengo iliyojiwekea msimu huu ambao ni kutetea ngao ya jamii, taji la Ligi Kuu, taji la Shirikisho la Azam (ASFC) pamoja na kutinga hatua ya nusu fainali ya mashindano...
PRIME Skudu, Aziz KI vita nzito Yanga YANGA imeshatimba jijini Tanga tayari kwa mechi za kuwania Ngao ya Jamii, lakini katika kikosi chao kuna vita moja nzito ya mastaa watatu wa timu hiyo akiwamo Mahlatse ‘Skudu’ Makudubela. Vita...
PRIME Mechi 3 tu, Yanga yachana mkataba wa Maxi MASHABIKI wa Yanga kuna jina jipya wamempa kiungo wao mshambuliaji Maxi Nzengeli wakimuita ‘Discipline Master’ yaani mwalimu wa nidhamu lakini mabosi wao nao, wameanza na hesabu mpya baada ya...
Katumbi noma, atia mkono usajili Yanga MABOSI wa Yanga wamepigwa na butwaa, baada ya bilionea wa TP Mazembe, Moise Katumbi kuonyesha jeuri ya fedha kwa kuifanyia umafia kwa kumchomoa juu kwa juu kiungo mmoja matata aliyekuwa...
Kisinda, Saido watema cheche unaambiwa MASTAA wawili wa Yanga winga Tuisila Kisinda na mshambuliaji mkongwe Said Ntibazonkiza ‘Saido’ wametoa kauli mbili ambazo kama mabeki wa Simba watazisikia zitawapandisha presha kuelekea mechi ya...