ZA NDAANI KABISA: Huko Yanga kuna mtu anautaka urais UCHAGUZI Mkuu wa Yanga unatarajiwa kufanyika Julai 10, huku habari Za Ndaani Kabisa zinasema kuwa mmoja wa vigogo wanaoifadhili timu hiyo anakipigia hesabu kitu cha urais wa klabu hiyo. Habari...
Yanga kambi mpya Marekani KAMA ratiba itakwenda kama inavyopigwa baada ya Yanga kubeba ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la ASFC, kikosi hicho kitasafiri hadi Boston, Marekani kuweka kambi ya msimu mpya wa michuano ya ndani na...
Serengeti Girls yatinga Kombe la Dunia Serengeti ilipata ushindi wa bao 1-0 jana, lililowekwa kimiani na Neema Paul kwa kichwa dakika ya 50 akiunganisha mpira wa kona uliochongwa na Veronica Mapunda, huku katika mechi ya awali...
Mwaterema: Acheni utani, ligi msimu huu ngumu MSHAMBULIAJI wa Kagera Sugar, Hassan Mwaterema amesema ushindani katika Ligi Kuu Bara msimu umekuwa ni mkubwa tofauti na misimu ya nyuma. Akizungunmza na Mwanaspoti, Mwaterema alisema siri kubwa...
TBT ZILITREND: Simba 'yairoga' Yanga KAMA kawaida tunaendelea kuwakumbushia stori zilizotrendi miaka ya nyuma na jana ikiwa ni Juni 2 tunarudi hadi mwaka 2004 na kukutana na habari iliyobamba kipindi hicho inayohusu Yanga kubwana...
Kili Queens yaanza vyema, Zanzibar yakiona cha moto MABAO mawili moja la kila kipindi yametosha kuifanya timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens kuanza vyema michuano ya Kombe la Chalenji 2022 inayofanyikia nchini Uganda...
Amazulu yafunguka kumtaka Pablo KLABU ya Amazulu inayoshiriki Ligi ya Afrika Kusini ‘DStv Premiership’ imekanusha taarifa ya kumtaka aliyekuwa kocha wa Simba, Pablo Franco.
Baada ya Saido, Nabi anaanza na huyu NI rasmi kwamba Yanga imetangaza kuachana na Saido Ntibazonkiza. Siyo huyo tu imefuta pia mpango wa kumsajili beki wa Uganda, Mustafa Kizza sababu kubwa ikitajwa kwamba amekaa nje ya mechi za...
Pablo atimuliwa Simba, agomea barua VIKAO vya siku mbili ndani ya Simba vimeamua rasmi kuachana na kocha mkuu Pablo Franco kwa kile kilichodaiwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa timu hiyo.
Ukame hat trick...Ni ubora wa mabeki au udhaifu wa mastraika LIGI Kuu Bara msimu wa 2021-2022 imesaliwa na mechi za raundi tano tu kabla ya kufikia tamati, huku Yanga ikiwa hatua chache kabla ya kutawazwa kuwa mabingwa.