Mtihani wa Chama kwa Simba ya Benchikha huu hapa HIVI karibuni kulikuwa na taarifa za Simba kutaka kumwacha kiungo wake Clatous Chama, lakini ghafla upepo umegeuka. Chama ambaye anatajwa kutokuwa kwenye mipango ya kocha wa Simba, Belhack...
Gamondi ana siku 38 Yanga KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi na mastaa wa timu hiyo wasiokuwepo kwenye fainali za Afcon 2023, wana siku 38 za kibabe za kujiweka tayari kabla ya kurejea kwenye michuano mbalimbali ikiwamo...
Nabi aandaa sapraizi nyingine WANANCHI wana jambo lao pale Kwa Mkapa. Mabingwa hao wa Tanzania jioni ya leo inatarajiwa kushuka uwanjani kupepetana na USM Alger ya Algeria katika pambano la mkondo wa kwanza la fainali ya...
Kisa Morrison... Nabi afoka YANGA kuna mastaa watatu mpaka sasa hawajaripoti kambini ambao ni winga Bernard Morrison, kiungo Stephane Aziz KI na beki Yannick Bangala na kabla hawajajiunga na timu hiyo kuna mkwara mzito...
Gomes v Nabi kazi ipo! MABOSI wa Yanga wajanja sana, wamechungulia namna mambo yao yalivyo kulinganisha na watani wao, Simba na fasta wakajiongeza wakiamua kubadili gia hewani kwa kushusha kocha mpya.
Kili Queens yaanza vyema, Zanzibar yakiona cha moto MABAO mawili moja la kila kipindi yametosha kuifanya timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens kuanza vyema michuano ya Kombe la Chalenji 2022 inayofanyikia nchini Uganda...
Wafanyakazi, wateja NBC wapelekwa kushuhudia Karikakoo Derby Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara (NBC Premiere League) jana ilinogesha shangwe za mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga kwa...
Yanga yamnasa juu kwa juu aliyekuwa akisakwa na Simba KAMA Kocha Miguel Gamondi ataridhia wiki hii mazoezini kwamba Djuma Shabaan apigwe chini, viongozi watashusha chuma kingine fasta ambacho inadaiwa hata Simba walikitamani. Mwanaspoti...
Ifahamu familia ya watoto saba wa Magufuli, wanne wakianza na herufi J Kwa muda mrefu familia ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli haikuwa ikiweka wazi idadi ya watoto na wajukuu alionao marehemu, lakini Jumatatu katika mazishi ya kitaifa yaliyofanyika...
Chama akwama kambi Simba MSHAMBULIAJI Yusuph Mhilu alikuwa mchezaji wa kwanza kutinga kambi ya Simba iliyoanza baada ya mapumziko mafupi ya siku tano, huku kiungo Clatous Chama akikwama kutua kwa wakati tofauti na...