Waletee Simba na Yanga SIMBA inaanza leo, Yanga kesho kwenye mechi za awali za makundi za michuano ya CAF. Wekundu wa Msimbazi wapo Guinea kutupa karata ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikiwa Kundi C kwa kuuamana...
NIONAVYO: Taasisi hii haitufungi kuhoji juu ya Young Boys ya Uswisi. Kwamba Simba ya Tanzania iko juu ya Brighton na Wolverhampton. Tunajitahidi kuuendeleza mchezo wetu ni jambo la kupendeza mdomoni na masikioni tunapohusishwa na...
Mbrazili amaliza bifu la Mwenda, Kapombe BENCHI la ufundi Simba chini ya Kocha Oliveira Robertinho limekata mzizi wa fitina kwa kumaliza bifu linalodaiwa kuwapo baina ya mabeki wa kulia, Shomary Kapombe na Israel Mwenda baada ya...
Tulimvua taji Mwarabu kwa mbinu hizi huwa siongei sana, sijui hata imekuwaje, lakini poa tuendelee... Anaendelea kuzungumza: "Kweli tulitii na kila mchezaji akatoka na begi lake, watu wa pale hotelini walishangaa kwa kuwa kila...
Simba yafafanua ishu ya jezi za Caf SIMBA juzi usiku ilizindua uzi mpya wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini watashtua mashabiki kwa kusema jezi hizo zingeanza kuuzwa Februari 15 na mabosi wa klabu hiyo wametoa ufafanuzi...
Waarabu wawawekea Simba video za ngono , lakini alituambia hata uwepo wetu Oman na kila tunachofanya Zamalek wanafahamu, alitueleza walikuwa wanatufuatilia, lakini tukiamua kupambana hakuna linaloshindikana. “Baada ya kumaliza...
Kiungo Horoya aihofia Simba, yapewa mbinu Dar es Salaam. Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba inatupa karata yake ya kwanza kwenye hatua ya makundi, wakati itakapokabiliana na Horoya ya Guinea, kwenye Uwanja wa...
Simba yasafiri na Bakhresa Misri wengi ambao walikuwa wanaiunga mkono timu, mfano nakumbuka wakati tunakwenda Misri, tuliongozana na Jamal Bakhresa ambaye ni mdogo wake na mzee Bakhresa ambaye ndiye alikuwa kama mkuu wetu...
Chama la Wakongo mziki wake Yanga si mchezo! MASHABIKI wa Simba wameanza kuliimba jina la straika mpya wa timu hiyo kutoka DR Congo, Jean Baleke baada ya kufunga mabao mawili katika mechi za Ligi Kuu Bara. Straika huyo amekuwa mchezaji wa...
Masatu akosa penalti, Simba ikaichapa Yanga penalti, Masatu alikosa mashabiki wote wakanywea na wa Yanga wakaamka na kuanza kushangilia. “Yanga wakaendelea kutawala mchezo kwa kasi kubwa sana, mashabiki wetu wakatulia, ghafla Luoga...