Ukata timu ya Ronaldo, mishahara ya wachezaji yacheleweshwa UKIWA umebaki mwaka mmoja wa mkataba wa Cristiano Ronaldo anaolipwa Pauni 488,000 kwa siku.
Arsenal yakoleza moto kumng'oa Rogers Villa SIKU chache baada ya kutangazwa kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England, Arsenal, wameendelea kupambana usiku na mchana kuhakikisha kwamba wanainasa saini ya kiungo-mshambuliaji wa Aston Villa, Morgan...
PSG ya Luis Enrique ilivyofikia kilele chake Ulaya PSG wametawazwa mabingwa wa Ulaya kwa mara nyingine tena. Kikosi cha Luis Enrique kilihitaji mikwaju ya penalti kuishinda Arsenal, mabingwa wa Ligi Kuu England, katika fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Petit ataka washambuliaji Arsenal wauzwe KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Emmanuel Petit, ameishauri klabu hiyo kuwauza Gabriel Martinelli, Noni Madueke na Gabriel Jesus kabla ya kuanza kwa msimu ujao.
Carvajal ana ishu na Inter Miami Nahodha wa klabu ya Real Madrid, Dani Carvajal, ametangaza kuondoka kwenye klabu hiyo baada ya kuitumikia kwa vipindi viwili tofauti ndani ya miaka 23.
Abdul Usangi afichua alivyomnasa manara Kombolela ALIYEKUWA msemaji wa Klabu ya Yanga na sasa mtangazaji wa redio, Haji Manara wiki chache zilizopita alishtua mashabiki wa filamu Bongo baada ya kuibuka katika Tamthilia ya Kombolela inayorushwa...
Kikosi cha matajiri Kombe la Dunia 2026 KOMBE la Dunia 2026 halitakuwa mkusanyiko wa wachezaji bora zaidi duniani, bali pia wa baadhi ya wanamichezo matajiri zaidi katika historia ya soka.
Fifa kuijaza mamilioni ya dola Man City LONDON, England. Manchester City ni moja ya timu itakayovuna fedha nyingi zaidi kutoka FIFA baada ya kutoa wachezaji wengi zaidi 19, wakaoshiriki katika Kombe la Dunia la 2026 kuanzia Juni 11...
Yamal hataki kuwa Messi wala Ronaldo Mkongwe na mshindi mara nane wa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka Lionel Messi hana shaka hata kidogo.
Liverpool yawasilisha ofa Leipzig ikimtaka Diomande INADAIWA kwamba Liverpool wamewasiliana na RB Leipzig kuhusu uhamisho wa winga wa kimataifa wa Ivory Coast, Yan Diomande ambaye amekuwa gumzo katika dirisha hili la usajili aende akawe mbadala wa...