PRIME MTU WA MPIRA: Tunachojidanganya wabongo kuhusu kwenda kucheza Ulaya Shirikisho Afrika. Ni Ulimwengu ambaye alikuwa na nafasi katika kikosi cha kwanza cha Mazembe iliyotwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ni Ulimwengu mwenye wasifu wa kutisha, lakini kwenda...
24 waingia Bingwa msimu wa pili, kukaa wiki 11 Dar es Salaam. Vijana 24 wenye ushawishi mtandaoni rasmi wameingia kwenye kinyang'anyiro cha kumpata mshindi wa kipindi cha Bingwa msimu wa pili ambapo watakaa kwenye nyumba maalum kwa siku...
PRIME Gamondi awafanyia umafia Waarabu KIKOSI cha Yanga kinahesabu saa tu kabla ya leo jioni kuanza safari kuwafuata wapinzani wao, Al Merrikh lakini kuna hesabu za kimafia zimepigwa na mabosi wa timu hiyo wakishirikiana na kocha wao...
Gamondi: Hii tuzo yenu Wananchi huyo raia wa Argentina pia ametumia tuzo hiyo kuwapongeza wachezaji wake akiwatambua kuwa ndio watu muhimu kwenye kazi yake kwa kupigania ushindi wa timu hiyo. "Ni furaha kubwa kupata zawadi...
PRIME Yanga yanasa mastaa wanane wa Al Merriekh YANGA imewafanyia umafia Al Merrikh ya Sudan baada ya kuwanasa mastaa wanane walioiwakilisha timu ya taifa ya Sudan iliyopambana na DR Congo ya Fiston Mayele, watakaounda kikosi cha kwanza cha...
PRIME Gamondi ana dakika 180 za mtego, rekodi Al Merrikj zashtua YANGA juzi asubuhi ilicheza mechi ya kirafiki ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mwisho ikiwa jijini Dar es Salaam kabla ya keshokutwa kusafiri kwenda Kigali, Rwanda kwa mchezo wa kwanza wa raundi...
Kijitonyama Chipukizi yatwaa ubingwa Healthy Champions itatusaidia kugharimia gharama mbalimbali katika mashindano ya soka ya Ufukweni ya Shirikisho la Kandanda Tanzania (TFF),” alisema Didi Kocha wa Moshi Academy, Mohamed Makange alisema pamoja na...
PRIME Mastaa Stars wala kiapo Algeria NYOTA wa Taifa Stars, wamejaa upepo huko Algeria ambako watacheza leo, Alhamisi mchezo muhimu dhidi ya wenyeji hao wa kupigania nafasi ya kucheza fainali za mataifa ya Afrika 'Afcon' kwa mara ya...
Uganda wawekewa mkwanja kuiua Niger ifuzu Afcon Mechi za mwisho kundi F kufuzu Afcon 2024 zitapigwa kesho saa 4:00 usiku katika viwanja viwili tofauti ambapo Tanzania (Taifa Stars) ikiwa ugenini Algeria itasaka ushindi au sare kujihakikishia...
PRIME Machezo: Maxi hakabiki kirahisi KIUNGO wa JKT Tanzania, Hassan Nassor Maulid ‘Machezo’ aliyesimama kati na kuchuana na Mudathir Yahya na Stephane Aziz Ki wa Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara na timu hiyo kupigwa mabao 5-0...