Gamondi: Tumejiandaa kukabiliana na Mamelodi Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema ili timu hiyo ifikie mafanikio ya juu lazima icheze dhidi ya klabu kubwa za Afrika kama Mamelodi Sundowns.
Yanga yatuma salamu za pole kwa Simba Uongozi wa Yanga umetuma salamu za pole kwa Simba baada ya ajali iliyotokea na shabiki mmoja wa timu hiyo kufariki dunia. Alifajiri ya leo shabiki mmoja wa Simba amefariki dunia wakati gari...
JIWE LA SIKU: Jina letu sio safi kimataifa Tanzania tumejitahidi sana kuliuza jina letu kimataifa na kuwa moja ya majina yanayozungumzwa vizuri sana linapokuja suala la soka.
Benchikha aipa hofu Al Ahly Mkuu wa msafara wa Al Ahly, Hossam Ghally, amesema kizuizi kikubwa kwao kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Simba ni uwepo wa kocha, Abdelhak Benchikha.
Al Ahly watua Dar kwa tahadhari Msafara wa Al Ahly umewasili mchana huu Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Simba, Ijumaa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa lakini imekiri kuwa italazimika kufanya...
Nenda Wasso! Simba na Yanga hazitakusahau MWANDISHI WETU AMEUMALIZA mwendo kibabe. Mwamba ameondoka. Ndio, Butu-Ingi Ramazan Waso Bakanga maarufu kama Ramadhan Wasso ameondoka. Hatutamwona tena. Juzi ilikuwa ni siku ya...
Huyu ndiye Diddy, anayeandamwa na tuhuma za unyanyasaji wa kingono Sean John Combs ndiyo jina lake halisi alilopewa na wazazi wake. Alizaliwa Novemba 4 mwaka 1969, New York Marekani mama yake aliitwa Janice Combs, alikuwa ni mwalimu na mwanamitindo, baba yake...
Ishu ya majeraha Azam iko hivi Katika toleo la Oktoba 16, 2023 la gazeti hili, ukurasa huu ulikuwa na taarifa yenye kichwa cha habari, AZAM FC IUTAZAME NA UPANDE HUU Upande ambao tulitaka Azam wautazame ni ule wa idara ya...
P Diddy awatoroka polisi,watoto wake wakamatwa Makazi ya nyota wa muziki wa hip-hop, Sean "Diddy" Combs, ya Los Angeles na Miami jana Jumatatu , Machi 25, yamefanyiwa upekuzi na Mawakala wa Usalama wa Taifa kama sehemu ya uchunguzi wa...
Ruvu Shooting ipo kama haipo MATOKEO ya kupoteza mchezo uliopita dhidi ya Stand United yameiweka pabaya zaidi Ruvu Shooting na sasa huenda msimu ujao ikaaga Championship, huku benchi la ufundi likikiri ugumu.