Beki Mzimbabwe wa Simba achimba mkwara SAA chache tu tangu asainishwe mkataba wa kukipiga Msimbazi, beki mpya wa kati kutoka Zimbabwe, Peter Muduhwa amechimba mkwara kwa mabeki wa kati aliowakuta kikosini akiwamo Joash Onyango na...
Onyango, Kyombo haoo Singida FG KWA sasa ni suala la muda tu, ila kuanzia muda wowote kuanzia sasa beki Mkenya Joash Onyango na straika Habib Kyombo watapewa 'Thank You' na klabu ya Simba kisha kuibukia Singida Big Stars ambayo...
Kijitonyama Chipukizi yatwaa ubingwa Healthy Champions Dar es Salaam. Timu ya Kijitonyama Chipukizi ya U-21 imetwaa ubingwa wa mashindano ya Healthy Champions (Tanzania Champions Cup) yaliyoshirikisha jumla ya timu 24. Kijitonyama Chipukizi...
Picha linaanza Sasa yanga BENCHI la ufundi la Yanga pamoja na mashabiki jana walikuwa na furaha iliyoje baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania uliowarudishia mzuka wa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara.
Naibu Waziri Mwinjuma aiombea Yanga nafasi Super League, CAF yajibu Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mohamed Mwinjuma amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), Veron Mosengo-Omba. Katika...
Diarra aizidi ujanja Caf YANGA itawakosa Djigui Diarra, Khalid Aucho na Djuma Shaban katika mechi ya mwisho dhidi ya TP Mazembe ambayo wanahitajika kupata ushindi ili wajihakikishie kumaliza kileleni mwa msimamo wa ligi...
PRIME Yanga yamnasa aliyehusishwa Simba ACHANA na tripu ya Malawi ambayo wanaenda Wachezaji mseto. Mwanaspoti limejiridhisha kwamba Yanga inachanga karata zake wa mwisho kukamilisha usajili wake kabla ya kuingia rasmi kambini wiki...
Onyango: Mkinipa Inonga wameumia BEKI kisiki wa Simba, Joash Onyango amewachambua Pascal Wawa na Henock Inonga kuwa wote ni wachezaji wazuri na kila mmoja ana mchango wake ndani ya Simba, huku akiweka wazi tofauti yao kuwa mmoja...
Yanga yaitega Simba, yaitengea siku 10 nzito IMEBAKI kama mwezi mmoja kabla ya watani wa jadi nchini, Simba na Yanga kuvaana kwenye mechi yao ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu itakayopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam...
PRIME Mna beki ya kuwazuia hawa HIKI kinachofanywa na Yanga sasa ni kukomoa. Baada ya kushusha winga kutoka DR Congo, Maxi Nzengeli aliyetoke AS Maniema anayesifika kwa chenga, kasi na kufunga. Lakini, wakamtambulisha kiungo...