Rekodi mpya: Harry Kane afunga bao la 51, Bayern yabeba ndoo ya Ujerumani
WAMEBEBA tena! Bayern Munich walitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga), mwishoni mwa wiki baada ya kuichapa VfB Stuttgart mabao 4-2, ukiwa ni wa 35 kwao tangu mfumo mpya wa mashindano...