PRIME PUMZI YA MOTO: Miaka 10 ya Zimbwe Jr ndani ya Simba SC JUNI 23, 2014, mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe (sasa marehemu), alitangaza kumsainisha nyota wa miaka 18 kutoka Kagera Sugar, Mohamed Hussein 'Tshabalala'.
PRIME Uamuzi mgumu Yanga HESABU za Yanga kwa sasa hazipo sawa baada ya kupoteza mechi ya pili ya Kundi A katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikitishia tumaini la kucheza robo fainali kwa msimu wa pili mfululizo...
Miaka 63 ya kibabe michezoni LEO ni Desemba 9. Hii ni siku muhimu kwa Watanzania hasa wa Tanzania Bara (zamani Tanganyika) ambao wanasherehekea Miaka 63 ya Uhuru tangu ilipojikomboa kutoa kwa Koloni la Kiingereza tarehe kama...
Gor Mahia yapasuka tena KPL BAO la mkwaju wa penalti iliyopigwa katika dakika ya sita ya pambano la Ligi Kuu ya Kenya, limewazamisha watetezi wa ligi hiyo, Gor Mahiakwa mara nyingine tena ikicheza nyumbani dhidi ya Bidco...
Hii ni vita ya watoto wa London Leo kuna vita ya watoto wa London ndani ya Premier League huku mechi kubwa zaidi ikiwa ni Tottenham Hotspur dhidi ya Chelsea ambayo itafunga siku ikichezwa saa 1 usiku kwenye uwanja wa kisasa wa...
Dodoma Jiji nje Shirikisho, Leo Tena yatakata TIMU za Ligi Kuu zinaendelea kupungua kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya Dodoma Jiji nayo kuaga kufuatia kipigo cha penalti 5-6 dhidi ya Leo Tena ya mkoani Kagera.
Bab'kubwa... Hivi ndivyo Tanzania Open ilivyofunika Arachuga MCHEZA gofu nyota wa Kenya, Greg Snow ameendeleza wimbi la ushindi kwa nchi hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa mashindano ya Vodacom Tanzania Open, yaliyomalizika wiki iliyopita katika Uwanja wa...
PRIME Diarra, Camara watungiwa sheria mpya Fifa BODI ya Kimataifa ya Vyama vya Soka (IFAB) inayojihusisha na utungaji wa sheria kwenye mchezo wa soka imefichua kwamba kuna jambo jipya linakuja hivipunde kwenye soka la dunia.
NIONAVYO: Mpira wa mdomoni unauponza mpira wa uwanjani MWANZONI mwa msimu wa Ligi Kuu Bara, Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPBL), Almas Kasongo alinukuliwa akisema kwamba katika msimu huu bodi hiyo haitawavumilia wasemaji wa klabu ambao ni...
Simba, Yanga na Azam zapata shavu Russia Klabu za Simba, Yanga na Azam zimepata fursa ya kucheza mechi za kirafiki na klabu za Ligi Kuu ya Russia, pamoja na kuweka kambi katika kipindi cha mapumziko ya ligi.