Mastraika wanne ubaoni Man United MANCHESTER United imeweka ubaoni majina ya mastraika wanne inayohitaji huduma zao kwa ajili ya msimu ujao.
VIDEO: Soka lambeba beki Yanga, apandishwa cheo KMKM KIKOSI Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM) kimempandisha cheo beki wa Yanga SC, Ibrahim Hamad "Ibra Bacca", kutoka Koplo hadi Sajenti. Hii ni kutokana na mchango wake mkubwa katika soka...
Odegaard kama kawakodi Chelsea KIUNGO fundi wa mpira, Martin Odegaard anaendeleza rekodi zake tamu kabisa dhidi ya Chelsea tangu alipojiunga na Arsenal.
Amorim amvulia kofia Fernandes KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amemsifu Bruno Fernandes na kusema ni mtu spesho kabisa baada ya nahodha huyo wa Mashetani Wekundu kuiongoza miamba hiyo kupata ushindi mnono wa wa 3-0...
Viwalo vya pesa hivi hapa, timu zinazovalishwa jezi za bei mbaya EPL DILI jipya la Liverpool la Pauni 300 milioni walilosaini na kampuni ya adidas kwa ajili ya kutengeneza jezi zao linatajwa kuwa moja ya dili tamu kabisa lililowahi kutokea kwenye Ligi Kuu England.
PRIME Sowah, Yanga kumekucha, mambo yapo hivi SINGIDA Black Stars inachekelea usajili wa kumshusha nchini mshambuliaji Jonathan Sowah, lakini wakubwa wamemuona ikiwemo Yanga na hesabu mpya ni kwamba imemuachia msala kocha wa timu hiyo...
Kimenya, Elfadhili warejeshwa Prisons WACHEZAJI wakongwe wa Tanzania Prisons waliokuwa wamepangiwa majukumu mengine nje ya timu, Jumanne Elfadhili na Salum Kimenya wamerejeshwa na wameshajiunga na wenzao kambini ili kuongeza nguvu...
Tumbishie? James anasema yeye ni bora kuliko Zidane, Modric WANASEMA hivi, kama husifiwi, jisifu mwenyewe. Ndicho unachoweza kusema baada ya James Rodriguez kudai kwamba yeye ni mchezaji bora kuzidi Zinedine Zidane.
Mbappe: Wale kina Ronaldo ni magwiji STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe amekataa kulinganishwa na supastaa Cristiano Ronaldo baada ya kukaribia kuipiku rekodi ya mabao ya mkali huyo wa Ureno katika msimu wake wa kwanza na miamba...
Raphinha katika rada za Manchester United MANCHESTER United imewasilisha ofa ya Euro 70 milioni kwenda Barcelona kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa timu hiyo na Brazil, Raphinha, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.