Al-Ittihad yaanza kujisogeza karibu kwa Mohamed Salah MATAJIRI wa Al-Ittihad ya Saudi Arabia wana imani kubwa kuwa mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah, mwenye umri wa miaka 32, atajiunga nao katika dirisha lijalo la...
Jude ni Zidane mtupu! JUDE Bellingham ameonyesha mavitu ya maana kabisa uwanjani akiiwezesha Real Madrid kuendelea kufukuzia mataji muhimu msimu huu.
Kane afunga mjadala rasmi wa kurudi EPL STRAIKA, Harry Kane ameamua kuzizima kabisa ripoti za kurudi kwenye Ligi Kuu England mwishoni mwa msimu huu.
Arteta atikiswa tena, majeraha yakikiandama kikosi KOCHA mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema wanasubiri kwa hamu taarifa za kuhusu mastaa wake mawili Gabriel na Jurrien Timber waliopata majeraha katika mechi ya ushindi dhidi ya Fulham...
Guardiola akubali maneno ya Mourinho KOCHA, Pep Guardiola amesema kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya yatakuwa mafanikio makubwa kwenye kikosi cha Manchester City kutokana na majanga makubwa yanayowakabili msimu huu.
Amorim amtaja mchawi Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ametaja kinachoigharimu timu yake msimu huu huku akiwachana wachezaji wake baada ya kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi...
Arteta atamba usajili dirisha kubwa KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesisitiza dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi litakwenda kuwa kitu kikubwa sana kwenye kikosi chake hicho cha Emirates.
Mlinzi wa Messi apigwa stop! MLINZI wa supastaa Lionel Messi, Yassine Chueko amepigwa marufuku kukaa pembezoni mwa uwanja huko MLS.
Haaland ndo hivyo tena Man City MANCHESTER City imefichua kwamba straika wao Erling Haaland huenda akakaa nje kwa siku kadhaa msimu huu baada ya kupata maumivu ya enka.
Mechi nne za kimkakati Ligi Kuu Bara MECHI nne za Ligi Kuu Bara zitapigwa Jumatano hii kwenye viwanja tofauti zikiwa na vita tatu, kisasi, ubingwa na kujiweka pazuri.