De Bruyne aaga zake Man City KIUNGO mshambuliaji Kevin De Bruyne amethibitisha kwamba ataachana na Manchester City mwishoni mwa msimu huu baada ya kuwapo kwenye klabu hiyo kwa muongo mmoja.
Harry Kane anahesabu siku tu kwa sasa HARRY Kane, jana usiku alifunga bao moja wakati Bayern Munich ikipata ushindi wa mabao 3-1 ugenini dhidi ya Augsburg katika Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga huku nyota huyo wa Uingereza...
Liverpool wapewe ubingwa wao EPL LIVERPOOL imerejea kwenye makali yake ya ushindi baada ya kuichapa Everton kwenye kipute cha Merseyside derby kilichofanyika Anfield, Jumatano iliyopita.
Gyokeres haifikirii kabisa Man United KLABU saba ambazo straika Viktor Gyokeres amefungua milango ya kwenda kujiunga nazo dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi zimewekwa bayana na Manchester United hawamo kwenye orodha.
PRIME Hiki Kikosi cha Kwanza hakuna mchezaji wa Arsenal ametia mguu NDIYO hivyo. Hakuna mchezaji yeyote wa Arsenal kwenye kikosi cha kwanza cha Ligi Kuu England cha msimu huu, licha ya miamba hiyo kushika namba mbili kwenye msimamo na ina rekodi tamu kabisa...
Huko Ulaya ni weka niweke kwenye ligi MAMBO ni moto leo huko kwenye Ligi Kuu za Ulaya na mchakamchaka ni kila kona, ikianzia kwenye La Liga ambako Real Madrid ya Kylian Mbappe itakuwa nyumbani Jumamosi kukipiga na Valencia, kabla ya...
Man United Vs Man City, goma lipo kati MANCHESTER United itaingia uwanjani Jumapili kwenye kipute cha Manchester derby dhidi ya mahasimu wao Manchester City ikiwa na mpango wa kuzoa pointi zote sita kutoka kwa wapinzani wao hao msimu...
Aston Villa yampa masharti mazito Marcus Rashford MSHAMBULIAJI wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 27, ameambiwa kuwa akubali kupunguza mshahara wake ikiwa anataka kusaini mkataba wa kudumu wa...
Makocha watano ubaoni Tottenham Hotspur KOCHA, Ange Postecoglou nyakati ngumu zimeendelea kumwandama huko Tottenham Hotspur na hilo linaweza kumgharimu kibarua chake baada ya kuchapwa na Chelsea, usiku wa Alhamisi.
Duh! Ederson boksa moja miaka minane KIPA namba moja wa Manchester City, Ederson amefichua kuna kitu amekuwa akikifanya kama imani kwake, kuvaa nguo ya ndani moja kwa kipindi cha miaka minane.