Lautaro Martinez atengewa fungu Arsenal ikimtaka kikosini ARSENAL imetakiwa kulipa Pauni 128 milioni katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa inaitaka saini ya mshambuliaji wa Inter Milan na timu ya taifa ya Argentina, Lautaro Martinez.
Hebu sikieni Mbappe kuna kitu kasema SUPASTAA, straika Kylian Mbappe amewaambia wachezaji wenzake wa Real Madrid wanapaswa kujitazama baada ya kiwango cha hovyo walichokionyesha kwenye mechi dhidi ya Arsenal usiku wa Jumanne.
MZIGO HUO! Chukua hizi tano za Arsenal ikiichapa Madrid MABAO mawili ya friikiki matata kabisa yaliyofungwa na Declan Rice yameiweka mahali pazuri Arsenal kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuwachapa Real Madrid...
Hatimaye Mukwala kaanza Baada ya Mwanaspoti kuripoti namna mastaa wa zamani wa Simba wanavyotamani kuona kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akimuanzisha Steven Mukwala dhidi ya Al Masry na kumuweka benchi Leonel Ateba...
Al Ahly, Mamelodi Sundowns zatinga nusu fainali, zakomaa ugenini Al Ahly na Mamelodi Sundowns jana zimeweza kuzidhibiti Al Hilal na Esperance kupata ushindi dhidi yao katika mechi za marudiano za hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zilizochezwa...
Inter Milan yainyemelea nusu fainali Ulaya, yaibanjua Bayern Inter Milan imejiweka katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Bayern Munich jana.
Bellingham: Tuna bahati kufungwa bao 3 tu, zingekuwa nyingi KIUNGO nyota wa Real Madrid, Jude Bellingham amesema timu yake ilikuwa na bahati sana kufungwa mabao matatu tu katika mechi yao ya mkondo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Arsenal kuibamiza Madrid mbona kawaida JANA Arsenal ilifanikiwa kuichapa Real Madrid mabao 3-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kilikuwa kipigo cha kushtusha kwa mashabiki wa soka...
Kumbe Van Dijk anabaki Anfield BEKI kisiki na nahodha wa Liverpool, Virgil van Dijk ameweka wazi kwamba yupo karibu kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia katika viunga hivyo kwa muda mrefu zaidi.
Yamal kuharibu mipango ya Arsenal STAA wa Barcelona, Lamine Yamal anadaiwa kuwa kutibua mipango ya Arsenal katika harakati za kutaka kumsajili winga wa Athletic Bilbao na timu ya taifa ya Hispania, Nico Williams kwenye dirisha...