Mashujaa yaifuata Yanga kwa akili mpya KIKOSI cha Mashujaa FC tayari kimeshatua jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mechi ya kiporo cha Ligi Kuu Bara dhidi ya watetezi ikiwa na akili nyingine kabisa na kocha wa timu hiyo Salum Mayanga...
Nidhamu tatizo kwa Bellingham, Bruno atajwa REAL Madrid inaripotiwa kuhitaji kumsajili mmoja wa nyota wa Manchester United kama mbadala wa Jude Bellingham, kutokana na madai ya kuwepo kwa utovu wa nidhamu kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa...
Anayekipiga nje ataja watatu WBDL SUPASTAA wa zamani wa timu DB Lioness, Orlyne Londo aliyetimkia Bravehearts ya Malawi inayoshiriki Ligi ya Kikapu nchini humo amewataja Jesca Lenga wa DB Troncatti, Jesca Ngisaise (JKT Stars) na...
Man United yamtibulia shabiki kunyoa nywele HABIKI mwenye nywele nyingi wa Manchester United, Frank Illett amebaki hana la kusema huku akisubiri karibu siku 500 kukata nywele zake baada ya mkeka alioweka kushindwa kutiki.
Yanga kwenye presha, tatizo la kufunga likiwaandama CAFCL Wakielekea kwenye mechi yao ya mwisho ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF), Young Africans wanajua kuwa ni muujiza pekee ndio unaweza kuwaweka hai katika mashindano ya hayo.
Van Persie apambana Sterling aanze kucheza WINGA machachari, Raheem Sterling amekamilisha uhamisho kwenda Feyenoord baada ya kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili za mkataba wake na Chelsea katika dirisha la Januari, ambapo...
KEVIN HART; Komediani mwenye pesa zake WIKIENDI iliyopita jina la Kevin Hart lilitikisa tena mitandaoni baada ya kampuni anayomiliki ya uzalishaji ya Hartbeat kutajwa kuwa moja ya taasisi za burudani zinazokua kwa kasi zaidi Marekani.