Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8893 results for Mwandishi :

  1. Mastaa Man United wachoka maneno

    MAMBO ni moto. Mastaa wa Manchester United wameripotiwa kumwita kwenye uwanja wa mazoezi kiungo wa zamani wa miamba hiyo Paul Scholes baada ya kuchoshwa na ukosoaji wake usiokoma.

    MAN UTD Pict
  2. Tabora United yaipeleka JKT Tanzania CCM Kirumba

    Siku tano baada ya Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora kufungiwa, uongozi wa Tabora United umeuchagua Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kwa mechi yake ya nyumbani dhidi ya JKT Tanzania, Machi 7, 2025.

  3. Harry Kane anahesabu siku tu kwa sasa

    HARRY Kane, jana usiku alifunga bao moja wakati Bayern Munich ikipata ushindi wa mabao 3-1 ugenini dhidi ya Augsburg katika Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga huku nyota huyo wa Uingereza...

  4. Raha ya Manchester Derby ipo hapa

    MECHI tano zilizopita. Manchester United imeshinda mbili, Manchester City imeshinda tatu. Jumapili, kinapigwa tena.

  5. Spurs kicheko, Man United kilio Europa

    MICHUANO ya Europa League inatinga hatua ya nusu fainali na Manchester United, Athletic Bilbao, Bodo/Glimt na Tottenham ndizo zilizotinga kusaka zitakazocheza fainali.

    EUROPA Pict
  6. ATM YA WIKI: Mo Salah mkataba mpya, utajiri mpya

    MOJA kati ya habari kubwa kwa mashabiki wa Liverpool kwa mwezi huu ilikuwa ni kusaini mkataba mpya wa miaka miwili ambao utamwezesha kusalia hadi mwaka 2027.

    ATM Pict
  7. PRIME Azizi KI agonganisha Waarabu wa Morocco

    YANGA imekaa mkao wa kuvuna mamilioni ya kufuru kupitia kiungo mshambuliaji, Stephanie Aziz KI lakini huko Uarabuni kuna vita kubwa inapigwa kati ya klabu mbili.

    AZIZ KI Pict
  8. Mbeya City yarejea Ligi Kuu kwa kishindo

    USHINDI wa mabao 5-0 ilioupata Mbeya City dhidi ya Cosmopolitan, umeifanya timu hiyo kutoka jijini Mbeya kurejea Ligi Kuu Bara msimu ujao 2025-2026 baada ya kufikisha pointi 65 ambazo haziwezi...

  9. Kisa Amorim, Ratcliffe apata wasiwasi

    TAJIRI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe amesema yuko tayari kumuunga mkono Kocha Roben Amorim katika kuijenga Manchester United, ila ana wasiwasi kama ataendelea kusalia klabuni hapo.

    WASIWASI Pict
  10. Pep Guardiola atishia kung’atuka Man City

    PEP Guardiola ameonya ataondoka Manchester City iwapo klabu hiyo haitapunguza idadi ya wachezaji kipindi cha majira ya joto.

Previous

Page 433 of 890

Next