Kasi ujenzi Uwanja wa AFCON Arusha yamkosha Mwana FA katika utekelezaji wa mradi, " alisema Naibu Waziri na kusisitiza. "Ushirikiano huu unazidi kujenga uhusiano wetu, kati ya mtu mmoja mmoja, kampuni za Kichina na za wazawa kupitia...
BIG BOSS VINI JR: Wasaudia wataka kuvunja rekodi MABOSI wa Saudi Pro League wanafikiria mpango wa kuvunja rekodi ya dunia kwenye uhamisho wa wanasoka, wakipanga kumchukua supastaa wa Real Madrid, Vinicius Jr.
Ten Hag kaanzia alipoishia huko KOCHA, Erik ten Hag ameendelea alipoishia baada ya kukumbana na kichapo kwenye mechi yake ya kwanza kuinoa Bayer Leverkusen huku mbaya zaidi akipoteza mbele ya timu ya vijana.
Hojlund asakwa Italia kisa Mbeumo AC MILAN inapiga hesabu za kunasa saini ya straika Rasmus Hojlund baada ya Manchester United kufikia makubaliano ya kumsajili Bryan Mbeumo kutoka Brentford.
Gyokeres bado shida iko hapa DILI la Arsenal la kumnasa straika Viktor Gyokeres lipo kwenye hatari ya kuvunjika, imeripotiwa.
Mourinho apendekeza jina la Rashford Fenerbahce KOCHA wa Fenerbahce ya Uturuki, Jose Mourinho anadaiwa kupendekeza jina la mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, 27, kwa mabosi wa timu yake na...
PRIME Baada ya Conte mashine nyingine tatu Yanga ni hizi! VURUGU walizoanza nazo mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara, Yanga katika kutangaza majembe mapya, zimeanza kushtua.
Simba yafuata kiungo Mali KATIKA kuimarisha eneo la kiungo, Simba imeanza harakati mapema za kulijenga eneo hilo ambalo tayari kuna nyota wanne wameshaondoka baada ya msimu wa 2024-2025 kumalizika.
Tshabalala aaga rasmi Simba, Yanga yatajwa kumalizana naye BEKI wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' sio tu kumaliza mkataba wake kikosini hapo, pia ameiaga rasmi akionyesha hataendelea na Wekundu hao, huku watani zao wa jadi, Yanga wakitajwa...
Noni Madueke ni mshika bunduki KUWAKABILI Arsenal msimu ujao mjipange. Ndicho unachoweza kusema baada ya kocha Mikel Arteta kushusha mashine nyingine matata kabisa kwenye kikosi chake baada ya kumnasa winga wa Chelsea, Noni...