Rubby aanza mwaka kwa mkwara Msanii wa Bongo Fleva Ruby amesema yuko mbioni kuolewa na hatua za ndoa zimeshaanza kufanyika.
Uncle Shamte ajitoa ishu ya Mzee Nyange shabiki na mdau kujaribu kutoa maoni yake kuhusu habari nzima. Akijibu swali la mwandishi lililouliza namna siri alifichua mama Dangote ilivyomgusa, Uncle Shamte amesema haijabadilisha...
Hojlund Napoli, Osimhen Man United STRAIKA wa Manchester United, Rasmus Hojlund amewekwa kwenye rada ya Napoli na huenda dili lake likamhusisha straika wa Kinigeria, Victor Osimhen, imeelezwa.
PRIME Mkude afichua siri jezi namba 20 aliotakiwa kupwe. Mtu wa karibu wa Mkude anayefahamikia zaidi kama Nungunungu, alisema jamaa alikataa kutumia namba nyingine, kwa vile namba 20 amekuwa akiitumia kwa muda mrefu na katika...
Messi atajwatajwa Ligi Kuu England NDOTO za supastaa, Lionel Messi kucheza Kombe la Dunia 2026 akiwa kwenye viwango bora kabisa linaweza kumsukuma kwenda kucheza soka kwenye Ligi Kuu England akiwa na umri wa miaka 38.
Deco atajwa sababu ya Xavi kuondoka nyuma ya pazia. Balague alisema wakati Deco anaondoka klabuni kama mchezaji, yeye na Xavi walikuwa hawana maelewano mazuri na Pep Guardiola alipofika, alifanya kuondoka kwa Deco na Ronaldinho kuwa...
Gofu na Simba? Serengeti wana jibu SIO rahisi kuelezea msisimko ambao mcheza gofu ataupata wakati akicheza gofu huku akipishana na makundi ya Simba, Chui au Twiga.
Wizkid, Iba One wafunika tuzo za Afrima tuzo hizo ikiwemo msanii bora wa kiume nchi za Magharibi, msanii mwenye ushawishi, msanii bora wa muziki Pop, albam bora na mwandishi bora. Wengine walioshinda ni Edy Kenzo wa nchini...
Man City, Maresca ni suala la muda Manchester City wanakaribia kumteua aliyekuwa kocha wa Chelsea, Enzo Maresca, kuwa meneja wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kufikia makubaliano ya fidia na Chelsea.