Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Wabunge wafunika jukwaa kuu

Wabunge wafunika jukwaa kuu

Muktasari:

  • Wakati mchezo wa Dodoma Jiji na Simba ukiendelea katika uwanja wa Jamhuri, wabunge wamekuwa sehemu kubwa ya watu waliofika hapo uwanjani.

Wakati mchezo wa Dodoma Jiji na Simba ukiendelea katika uwanja wa Jamhuri, wabunge wamekuwa sehemu kubwa ya watu waliofika hapo uwanjani.

Kuanzia kwa Godwin Kunambi wa Jimbo la Mlimba Morogoro, ambaye alishiriki vilivyo wakati wa timu kupanda ligi kuu, aliwaongoza wabunge kadhaa kuushuhudia mtanange huo.

Kunambi alionekana mara kadhaa akishangilia kwa kutembea mbele ya wabunge na watu wengine waliopo jukwaa kuu, wakati ambao wachezaji wa Dodoma Jiji walipokuwa wanakosa nafasi kwenye lango la Simba

Hamiss Mwinjuma (Mwana FA), Hamis Taletale (Babu Tale), Anthony Mavunde, ni miongoni mwa waliopo uwanjani katika jukwaa la watu mashuhuri wakifuatilia mchezo huo.