Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Barbara: Tukutane Jumamosi

Baada ya mechi dhidi ya St George ya Ethiopia katika Simba Day Jumatatu, Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez alifurahishwa na umati uliojitokeza kukiona kikosi huku akiwaambia anadhani wameona usajili wao.

“Asanteni kwa kuitikia wito kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha kubwa. Wachezaji mmewaona nawaomba mje kwa wingi Jumamosi kuona soka la ushindani, tumefanya usajili bora,” alisema.

“Matokeo tuliyoyapata yanaongeza chachu ya ushindani hadi kufikia Jumamosi tunatarajia mambo mazuri zaidi.”