PRIME Mbadala wa Aucho Yanga huyu hapa YANGA wameanza mapema kukifanyia maboresho kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kupiga hodi kuulizia huduma ya kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma kama mbadala mpya wa staa wao, Khalid Aucho.
PRIME Mambo matano yanayomuondoa Benchikha Simba Usiku wa leo Simba itakuwa uwanjani mjini Unguja kumalizana na Azam kwenye pambano la fainali ya michuano ya Kombe la Muungano litakalopigwa Uwanja wa New Amaan, huku mabosi wa klabu hiyo...
PRIME MTU WA MPIRA: Kwa Simba hii hata apewe Gamondi haifanyi maajabu Nimeona mitandaoni tetesi Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ameomba kuondoka mwishoni mwa msimu. Sijui kama ni ukweli ama uongo maana waandishi wengi wa kizazi cha sasa wanapenda zaidi...
Tuzo ya ufungaji Bara ngoma droo MBIO za kuwania tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu ngoma nzito kikanuni, licha ya nyota wa Yanga, Stephane Aziz KI na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam wakichuana katika orodha ya...
Simba yaingia vitani na Azam, Ihefu yampandia dau beki tano Baada ya kumkosa katika dirisha dogo la usajili na staa huyo kuwahiwa na Ihefu FC ambayo imetuma ofa Coastal Union ikimtaka Lameck Lawi, Simba imepanda dau kuwania saini ya beki huyo.
PRIME Benchikha ndo basi tena Simba, aaga wachezaji Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha inadaiwa amemalizana na klabu hiyo baada ya kuipa Kombe la Muungano na Bodi ya Wakurugenzi imekubali uamuzi wa kocha huyo kutaka kuondoka.
Simba, KVZ zaanza kufukuzia mil 50 WAKATI KVZ ikiialika Simba katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Muungano leo kuanzia saa 2:15 usiku katika Uwanja wa Amaan, timu zinazoshiriki zimetangaziwa zawadi ya Sh50 milioni kwa itakayobeba...
Raska Zone hesabu kali wakiitisha KVZ Nahodha wa kikosi hicho, Ramadhan Yussuf Isaa alisema licha ya kuwepo kwenye mapumziko ya mwezi mmoja lakini wamerudi wakiwa na nguvu na ari mpya na wapo tayari kuipambania timu hiyo.
PRIME Ukiwa na macho ZPL marufuku BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la macho mekundu maarufu...
Kinachoendelea Kwa Mkapa muda huu | Mashabiki wafunguka utabiri wa mabao Yanga vs Simba Mwananchi Digital 953K subscribers
NIONAVYO: Soka la kununua bila kuuza halina tija SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA) lina sheria na taratibu za kuhakikisha kuna nidhamu ya mapato na matumizi miongoni mwa nchi wanachama wake ikiwa ni pamoja na klabu. Lengo la utaratibu huu siyo...
Dabi ya Mashemeji... K'Ogalo yaizamisha tena Ingwe BAO pekee la dakika 30 lililowekwa kimiani na Austine Odhiambo limeiwezesha Gor Mahia kuizamisha tena AFC Leopards katika pambano la Dabi ya Mashemeji lililopigwa jioni ya leo Jumapili, jijini...
West Ham 2 Liverpool 2, ubingwa basi tena kwa Klopp LONDON, ENGLAND. LIVERPOOL imeishiwa pumzi kwenye mbio za kufukuzia ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu na kurusha taulo baada ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya West Ham United, leo. Na mwisho...