Walipaswa kusikika katika nyimbo hizi ila ndo hivyo...! Kuna mambo mengi huendelea nyuma ya pazia kabla ya wanamuziki wa Bongofleva kuachia nyimbo zao ambazo hutokea kuzipenda na kutuachia kumbukumbu muhimu katika maisha.
Mayele asaini miwili TRA United ALIYEKUWA mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Kassim Shaibu ‘Mayele’ amekamilisha usajili wake wa kujiunga na TRA United kwa mkataba wa miaka miwili, baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na kiwango...