MCT, Taswa walaani, Mambosasa atia neno kupigwa kwa mwanahabari Taarifa iliyotolewa na MCT na Taswa leo na kusainiwa na Katibu Mtendaji MCT, Kajubi Mukajanga pamoja na Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Muhando ilisema Kwa mujibu wa Mbise tukio hilo lilitokea baada...
VIDEO: Ahsante Mzee Majuto Mbali ya viongozi hao na wengine, pia walikuwapo wasanii wa fani mbalimbali akiwamo Diamond Platnumz, Nisha, Steve Nyerere, Cloud 112 pamoja na ndugu jamaa na marafiki.
I’M SORRY: Pep awaomba msamaha wachezaji wake baada kipigo cha Real Madrid KATIKA toleo lililopita kwenye kitabu cha Pep Confidential, mwandishi Marti Perarnau alizungumzia mfumo ambao Bayern ingeutumia kuivaa Real Madrid katika mechi ya Ligi ya Mabingwa wakati huo...
Samatta anatuzalishia kina Diamond Platinumz wengi DUNIA imebadilika sana. Kabla ya Cristiano Ronaldo kutamba katika ulimwengu wa ubishoo na soka, zamani Waingereza walikuwa na mtu anaitwa George Best. Kipaji maridhawa cha soka. Waingereza...
Makipa Manula, Dida wakabana koo Simba Dida aliyewahi kucheza Simba kabla ya kutimkia Yanga, amerejea katika klabu hiyo na sasa anakwenda kupigania namba na Manula ambaye ni kipa chaguo la kwanza Simba na Taifa Stars.
LECHANTRE Mambo yake makubwa aisee MWANDISHI WETU. NI kweli kwa sasa zinahesabiwa saa tu kwa ndoa kati ya Kocha Pierre Lechantre na klabu ya Simba kuvunjwa rasmi. Kocha Lechantre aliyetua nchini mapema mwaka huu ili...
MAKINI Pep Guardiola anakumbuka kila tukio baada ya mechi KATIKA toleo lililopita kwenye Pep Confidential, Mwandishi Marti Perarnau alizungumzia kuumwa kwa Thiago na matarajio ya mchezaji huyo kupona haraka huku Pep akimhakikishia watafanya kila...
Mikakati mipya ya Pep Baryen ni kupiga pasi nyingi TOLEO lililopita kwenye kitabu cha Pep Confidential, mwandishi Marti Perarnau aliendelea na mazungumzo yake na Kocha Pep Guardiola ambaye alifunguka kuhusu mikakati yake kwa msimu wake wa...
Kroos alivuruga matumaini yote ya Arsenal TOLEO lililopita kwenye Kitabu cha Pep Confidential, Mwandishi Marti Perarnau alianza kwa kuichambua mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Arsenal na Bayern ilivyokuwa katika kipindi cha...
Mama Uwoya hamtaki mkwe Dogo Janja Oktoba 28 mwaka jana Dogo Janja(23) na Uwoya(29) walifunga ndoa ya siri ilizua gumzo kutokana na kuwepo kwa utofauti mkubwa wa umri kati yao.