Simba yatesti mitambo ya CAF VINARA wa Ligi Kuu Bara na wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba jioni ya leo watatesti mitambo ya CAF, itakapovaana na Asante Kotoko ya Ghana kwenye mechi ya michuano...
Azam FC kwa Simba hatimaye imewezekana Azam imepiga michezo 10, Simba wakishinda mara nne na mara sita wakitoka sare. Katika mechi hizo Simba wamefunga mabao 14 huku Azam FC wakifunga mabao nane.
PRIME Kwani anatakaje? Hadi mshahara huu kaukataa MABEKI Yannick Bangala na Djuma Shaban wamemalizana na Yanga na kupunguza presha za mashabiki wa klabu hiyo walikuwa na hofu kwa nyota hao kutimka. Kilichowashangaza wakubwa wa klabu hiyo ni...
Yanga, USM Alger rekodi zitaamua MASHABIKI wa Yanga, wamepata ubaridi baada ya jana kushuhudia chama lao likilala nyumbani kwa mara ya kwanza katika michuano ya CAF msimu huu, lakini timu hiyo bado ina nafasi ya kipindua meza...
Gamondi ashtuka, awataja Wakongo DAKIKA 90 za mechi ya ugenini ya Al Merrikh ya Sudan na AS Otoho ya Congo Brazaville zimemshtua Kocha Miguel Gamondi akalazimika kuongeza nguvu ya ziada kuekelea mchezo wa leo. Gamondi ameurudia...
Ni kubadilishana kijiti kama mbio fupi za mapenzi Wasanii kama wanavyotajwa ni kioo cha jamii, watu wengi hupenda kufuatilia maisha na mambo yao, yakiwamo ya mahusiano.
Mume wa mwimbaji wa 'Ekwueme' akamatwa Mume wa mwanamuziki nyota wa nyimbo za injili nchini Nigeria, Osinachi Nwachukwu aliyefariki mwishoni mwa wiki kwa madai ya ugonjwa wa saratani ya koo, amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika...
Nabi kiboko yao HIVI unaposoma habari hii, kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi ametimiza jumla ya siku 624 tangu alipoanza kuinoa timu hiyo akiwa ameiongoza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu mara moja, Ngao ya Jamii mara...
CAF yataja sababu Stars kuwania tuzo Afrika ACHANA na rekodi za nyuma. CAF wametaja klabu 10 kubwa kwa sasa zinazowania tuzo ya klabu bora ya mwaka 2023 Afrika. Tanzania imeingia Yanga ya Kocha Miguel Gamondi tu. Shirikisho la Soka...
JIWE LA SIKU: Wauaji wapya watatu tu Simba itatisha Afrika SIMBA ndiyo timu pekee ya Ligi Kuu Bara ambayo ina taji lolote hadi sasa msimu huu, japo ukimweleza hilo shabiki wa Wekundu wa Msimbazi atakuona kama unamkebehi.