Manara avuruga mashabiki Unguja BAADHI ya mashabiki wa mpira wa miguu Unguja wamesema msimu wa 2021-2022 wa Ligi Kuu Bara hautakuwa na msisimko mkubwa kutokana na kung’atuka kwa aliyekuwa msemaji wa Simba,Haji Manara. Haji Bakari...
Simba yafuata straika Tunisia SIMBA iko kwenye hatua nzuri ya kumalizana na straika Mghana, Abdul Basit Khalid aliyeachana na Esperance ya Tunisia . Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba iliyofika jana kambini nchini...
Simba Day rasmi Agosti 28, waweka kambi ya kishua SIMBA wametangulia kwenye kambi ya kishua. Waliondoka Jijini Dar es Salaam jana mchana kuelekea kambini nchini Morocco huku Yanga ikipanga kufanya hivyo Jumatatu asubuhi. Mwanaspoti limebaini...
MZEE WA UPUPU: Haji Manara tangu alipozaliwa Haji Sunday Manara, aliyekuwa msemaji na mhamasishaji wa klabu ya Simba tangu 2015 ameondoka klabuni hapo kibabe ikidaiwa ni kutokana na kutoiva na mwanamama Barbara Gonzalez, ambaye ni mtendaji...
Mwenyekiti PSG: Baada ya Messi, Mbappe 'hana sababu' ya kuondoka Mshambuliaji huyo Mfaransa anatarajiwa kuungana na Neymar na Messi katika safu ya ushambuliaji ya PSG, lakini nyota huyo wa Argentina hatarajiwi kuonekana mwishoni mwa wiki hii wakati klabu hiyo...
KMC yapata mdhamini mpya KLABU ya KMC iliyoshiriki Ligi Kuu Bara, imekula shavu kwa kupata mdhamini mpya walioingia nao mkataba wa miaka miwili ya kusambaziwa vifaa vya timu yao. KMC iliyomaliza nafasi ya tano katika...
Mbadala wa Tuisila ni balaa KUNA mashine nyingine ambayo punde itatua kwenye ardhi ya Tanzania kama mambo yakienda kama yalivyopangwa. Yanga imemalizana na winga Mkongomani, Ducapel Moloko ambaye ni mbadala wa Tuisila...
Wapya Saba kambini Simba, kupaa wiki hii Morocco BAADA ya mapumziko mafupi waliyopewa na benchi lao la ufundi, nyota wa Simba wakiwamo wale wapya waliosajiliwa hivi karibuni, wanatarajiwa kuliamsha dude upya kuanzia leo kabla ya kusafiri kwa...
VIDEO: Lile kipa la Mali limetua Yanga ACHANA na matokeo ya aibu iliyopata jana kwenye mechi yao ya mwisho ya michuano ya Kombe la Kagame, unaambiwa Yanga inaendelea kushusha watu na sasa inafanya mambo yao kimyakimya baada ya jana...
Sven apagawa, Bangala anatua Yanga BAADA ya beki Mkongomani, Henock Inonga kuingia tamaa na kusaini Simba, Yanga wamebadili gia haraka na kutua kwa kifaa kingine.