Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8299 results for Mwandishi Wetu :

  1. Pablo aanza na chai, atoa masharti kwa wachezaji

    CHUKUA hii. Simba ndiyo timu pekee kwenye Ligi ya Tanzania yenye Kocha Mhispania aliyewahi kufundisha kwenye Laliga. Ile unayoiona kwenye Kibandaumiza. Kocha huyo, Pablo Franco ameanza kazi. Siku...

  2. Yanga yaitega Simba, yaitengea siku 10 nzito

    IMEBAKI kama mwezi mmoja kabla ya watani wa jadi nchini, Simba na Yanga kuvaana kwenye mechi yao ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu itakayopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam...

  3. VIDEO: Pablo wa Simba atua Dar

    Kocha mpya wa Simba, Pablo Franco Martine amewasili nchini Tanzania leo saa 4:00 asubuhi akitokea kwao Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha Dar es Salaam

  4. Sita Yanga ngoma nzito, yumo Saido, Nchimbi, Nabi awakomalia...

    KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kujiandaa na mechi zao zijazo za Ligi Kuu Bara, huku kocha wao, Nasreddine Nabi akikomaa nao gym kabla ya kurejea kuwapigisha tizi la uwanjani, lakini kuna...

  5. Mfahamu ‘Muno’ msanii mchanga aliyefanikiwa kumdatisha Rude Boy wa P Square kuja Tanzania

    Oviemuno Oriero maarufu Muno ni msanii  na mwandishi kutoka Nigeria ambaye Desemba mwaka huu amepanga ku t embelea vyombo vya habari Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania. Hatua hiyo  yake...

  6. Aucho amsapraizi Nabi mazoezini

    YANGA juzi usiku ilikuwa uwanjani ikipambana na Azam FC katika mchezo wa nne wa Ligi Kuu Bara na kikosi chao kuna mastaa wapya saba waliokiongeza ubora, lakini kiungo wao mmoja, Khalid Aucho...

  7. Mshahara wa kocha anayehusishwa Simba huu hapa

    WAKATI joto la kocha atakayechukua nafasi ya Didier Gomes ambaye ameachana na timu hiyo baada ya kutolewa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa juu, bado timu hiyo inachakata majina ya waliotuma CV...

  8. Mashindano ya kuogelea la Kanda ya nne yaanza kwa kishindo

    Dar es Salaam. Mashindano ya kuogelea ya Kanda ya nne Afrika (Cana Africa Zone 4) yameanza kwa kishindo jijini Dare s Salaam huku waogeleaji wa Tanzania wakionyesha makali yao. Mashindano hayo...

  9. Yanga, Azam ya sura mpya

    ASILIMIA kubwa ya sura za mechi ya leo ya Yanga na Azam ni mpya tofauti na msimu uliopita. Yanga na Azam mara ya mwisho walikutana Aprili 25 mwaka huu na Yanga kukubali kipigo cha bao 1-0 hadi...

  10. Hawafai, waamuzi 'machizi'

    MICHEZO mingi iwe ya kirafiki au ya mashindano husimamiwa na waamuzi kwani kutokuwapo kwao kunaweza kutokea wachezaji, viongozi na hata mashabiki kutokubaliana na kusababisha vurugu. Hivyo ndivyo...

Previous

Page 772 of 830

Next