PUMZI YA MOTO: Simba na usajili kama Bongo Dar es Salaam
KATIKA wimbo wa Bongo Dar es Salaam wa Profesa Jay wa mwaka 2001 ndani ya albamu ya Machozi, Jasho na Damu, mkali huyo wa mashairi alihadithia ujanja ujanja wa kimjini unaopatikana Dar es Salaam...