PRIME Moto wa Ayoub bado haujakolea KOCHA wa makipa wa Simba, Dani Cadena amesema kiwango kinachoonyeshwa na kipa Ayoub Lakred ni asilimia ndogo na mashabiki wa kikosi hicho watarajie mambo makubwa kwake msimu huu licha ya kuanza...
Twende zetu Ivory Coast Ki-VIP kumenoga sita wanaobashiri na Betika kupitia Tigopesa watakwenda kuishuhudia Afcon hiyo bure kule Ivory Coast, Betika ikigharamia kila kitu. Kabla ya droo hiyo kubwa ya Januari 2, Betika na Tigopesa...
PRIME Maajabu timu ZPL mbele wembe, nyuma uchochoro ZANZIBAR. LIGI Kuu Zanzibar (ZPL) imesimama kupisha mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza Desemba 28 mjini Unguja yakihusisha timu mbalimbali kutoka Tanzania Bara, Zanzibar...
PRIME Chivaviro: Kazi imebaki kwa Yanga STRAIKA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Ranga Chivaviro amevunja ukimya kwa mara ya kwanza kwa kuzungumza na Mwanaspoti juu ya tetesi za kusajiliwa na Yanga akisema hatma yake ipo mikononi mwa...
General Sport’s yang'ara Chipkizi 2023 TIMU ya General Sports kutoka jijini Dar es Salaam imeng'ara katika michuano ya Kombe la Chipkizi 2023 kwa vijana yaliyofanyika Arusha. Katika michuano hiyo General Sports iliibuka mabingwa kwa...
PRIME Ayoub sasa uhakika Simba KIWANGO alichokionyesha kwenye mechi mbili zilizopita za Ligi ya Mabingwa Afrika, kimembeba kipa Ayoub Lakred kuwa na uhakika wa namba katika kikosi cha kwanza na pia kunusurika na panga...
Bocco mfungaji bora muda wote Ligi Kuu Bara Hilo lilikuwa bao la pili kwa Bocco msimu huu, lakini ni la 154 likimfanya awe Mfungaji Bora wa muda wote wa Ligi Kuu Bara akifunga mfululizo katika misimu 16 tofauti akiwa na timu za Azam FC na...
Mkude mtegoni tena Yanga KIUNGO wa Yanga, Jonas Mkude amejikuta mtegoni baada ya nafasi yake kikosini kuendelea kuwa finyu huku baadhi ya vigogo wakitaka aondoke kutokana na mwenendo wake wa kinidhamu.
TFF yajibu ishu ya wachezaji kulipwa Sh20,000, kutelekezwa Tanga Wakati taarifa ya kutokulipwa kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya chini ya miaka 15 ikisambaa mitandaoni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema bado lipo kwenye utaratibu wa kubadili...
NIONAVYO: Dirisha dogo la usajili, linahitaji umakini mkubwa hutumika pia kulinda maslahi ya wadhamini wa mchezaji na wa klabu. Bahati mbaya sana kwetu Watanzania, maumivu yetu tangu enzi za Karl Peters hutokana na kuingia mkataba bila kujua kilichomo na...