Gakpo apata pigo kambini Uholanzi ikiisubiri Morocco 32 Bora
Mshambuliaji wa Liverpool, Cody Gakpo, amepata pigo akiwa kambini na kikosi cha Uholanzi baada ya kupokea taarifa za mtoto wake wa kiume aliyetarajiwa kuzaliwa Oktoba mwaka huu, kufia tumboni.