PRIME Dube atinga rasmi TFF SAKATA la mshambuliaji mtoro wa Azam FC, Prince Dube limechukua sura mpya baada ya mchezaji huyo raia wa Zimbabwe kuukana mkataba na klabu hiyo ya Chamazi. Taarifa za ndani kutoka Shirikisho la...
Nenda Kuka fundi wa mpira MWANDISHI WETU WIKI moja tu tangu familia ya michezo hususan soka kupata pigo baada ya beki wa zamani wa kimataifa aliyewika Simba na Yanga, Ramadhani Wasso kufariki dunia akiwa kwao...
Namna ya Simba, Yanga kutoboa ugenini CAF Michezo miwili ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali kwenye Uwanja wa Mkapa ilimalizika kwa matokeo tofauti wikiendi iliyopita na sasa kila mmoja anasubiri kuona ni kwa namna gani...
PRIME Mbrazili awang’oa Pa Jobe, Freddy KWA sasa Simba inakuna kichwa ikitafuta mbinu za kushuka nazo jijini Cairo, Misri katika mechi ya marudiano ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly baada ya kunyukwa bao 1-0...
PRIME Haijaisha hadi iishe WIKIENDI ilikuwa ya moto kwa mashabiki wa soka nchini kutokana na kile kilichozikumba timu za Simba na Yanga katika michezo ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly...
Mambo matatu kuibeba Simba akiahidi kufanyia kazi waweze kufanya vizuri katika mechi inayofuata. “Tunawaomba radhi mashabiki wetu. (Ahly) wamepata nafasi moja wameitumia, sisi tumepata nafasi saba hakuna bao.
Yanga akili zote Sauzi WABABE wa soka nchini, Yanga janas usiku walikuwa uwanjani kupepetana na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini mabosi wa...
JIWE LA SIKU: Simba imtimue anayesajili wachezaji TUMEONA wenyewe. Simba imekufa bao 1-0 mbele ya Al Ahly katika Uwanja wa Benjamin Mkapa hapo juzi. Ni historia mpya. Ni mara ya kwanza Al Ahly anashinda dhidi ya Simba hapa nchini. Ilishakuja...
NIONAVYO: Klabu zingine zijifunze kwa Tabora United kuongozwaa na mwanachama Mackenzie ambaye hakudumu sana, kwani timu iliwekwa chini ya ufilisi na ukaanza mchakato wa kupata wawekezaji wapya. Leeds iliendelea kushuka na kushuka kwa miaka kadhaa...
Gamondi: Tumejiandaa kukabiliana na Mamelodi Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema ili timu hiyo ifikie mafanikio ya juu lazima icheze dhidi ya klabu kubwa za Afrika kama Mamelodi Sundowns.