Azam yaifuata Simba fainali Muungano USHINDI wa mabao 5-2 ilioupata Azam FC dhidi ya KMKM, umeifanya timu hiyo kufuzu fainali ya Kombe la Muungano, michuano inayofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
PRIME Mvua yatishia uwepo wa Ligi Kuu Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali hapa nchini, zimeonekana kutishia kutibua ratiba ya michezo ya Ligi Kuu Bara.
Simba yatinga fainali Kombe la Muungano SIMBA imetinga fainali ya Kombe la Muungano baada ya leo kuichapa KVZ mabao 2-0 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
AY awaandalia sapraizi mashabiki Bongo Fleva Honors Mwanamuziki, Ambwene Yesaya (AY) amesema amewaandalia sapraizi mashabiki wa tamasha la Bongo fleva Honors lililoingia msimu wa pili. AY keshokutwa Ijumaa atafanya shoo kwenye ukumbi wa Ware...
Kanuni yaiweka pabaya USM Alger Wakati Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) likisubiriwa kutoa uamuzi wa mechi iliyoshindwa kuchezwa ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya USM Alger na RS Berkane, kanuni za...
Pisi kali za ulingoni DUNIA imejaa warembo kibao wanaotwanga makonde kama Natasha Jonas, Amanda Serrano au yule Claresaa Shield na ukiwakuta nje ya ulingo katika mitoko yao mingine, katu huwezi kukubali kama hao ni...
PRIME Ishu ya Manji kurejea Yanga ipo hivi Manji alikuwa Uwanja wa Mkapa Jumamosi iliyopita akiishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba na kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kufikisha...
PRIME Simba yafuata mrithi wa Saido Asec Mwanaspoti linajua Simba inataka huduma ya kiungo huyo kiraka ili aje kufanya mambo mawili kutumika kama winga wa kushoto, pia kama kiungo mshambuliaji nyuma ya mshambuliaji wa mwisho.
PRIME Manji ana mchezaji mmoja Yanga Manji alikuwa Uwanja wa Mkapa Jumamosi iliyopita akiishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba na kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kufikisha...
Hukumu ya Beno ndani ya saa 72 afike kwenye kikao cha kamati ya nidhamu lakini mchezaji huyo aligomea wito huo. Mwanaspoti ilizungumza na Ofisa habari wa klabu hiyo, Hussein Masanza ili kujua kinachoendelea ambapo alisema ...