Zamalek yaiduwaza RS Berkane, ikibeba Kombe la Shirikisho Afrika
BAO pekee lililofungwa dakika 23 na Ahmed Hamdi katika pambano la pili la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, iliyopigwa usiku wa jana jijini Cairo, Misri iliiwezesha wenyeji, Zamalek kubeba...