Simba hii ya Gomez balaa tupu KIKOSI cha Simba kimerejea jijini Dar es Salaam, kikitokea Cairo Misri ilipoenda kuvaana na Al Ahly na kuupiga mpira mwingi uliowakosha wadau wa soka nchini waliodai soka hilo linaasharia benchi...
Mayele kulipwa Sh53 milioni, Yanga kulamba bilioni na ushee Siri imefichuka! hivyo ndiyo unavyosema kusema baada ya taarifa kutoka Afrika Kusini kueleza kiwango cha mshahara ambacho mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele anataka apewe ili atue Kaizer Chiefs.
Marioo alamba dili jipya Msanii nyota wa kizazi kipya ambaye ni maarufu ndani na nje ya Tanzania, Omary Mwanga 'Marioo' leo amelamba dili la kuwa balozi wa kampuni ya michezo ya kubashiri ya Parimatch. Mkurugenzi wa...
Mechi 3 za heshima Stars FAINALI za Chan zinaanza leo Januari 16 nchini Cameroon. Zitapigwa mechi mbili za kundi A. Moja saa 1 usiku mwenyeji Cameroon kukipiga na Zimbabwe. Saa 2 usiku Mali watacheza na Burkina Fasso.
PRIME Kocha Simba atajwa Coastal KOCHA wa zamani wa Simba, Goran Kopunovic na Javi Martinez raia wa Mexico mmoja wapo huenda akatua kwa Wagosi wa Kaya (Coastal Union) msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Goran raia wa Serbia aliwahi...
Winga Geita anukia Simba SIMBA imeanza harakati za kuimarisha kikosi chake na miongoni mwa nyota wanaotajwa kuwa katika mpango wa kuwanasa ni winga wa Geita Gold, Edmund John. Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti...
PRIME Bangala: Maxi kiboko yao YANNICK Bangala ambaye amekiri yuko kwenye hatua za mwisho kuachana na Yanga, ameangalia usajili wa mastaa 7 wapya waliotambulishwa mpaka sasa akasema winga Maxi Nzengeli atawakalisha wengi...
Mwamba amerudi Simba ALIYEWAHI kuwa Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ juzi alijitosa kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa klabu hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Januari 29...
Simba shangwe miaka 3 KUANZIA 2018 hadi sasa, Simba imepitia katika kipindi cha neema kutokana na mafanikio makubwa iliyoyapata katika mashindano ya kimataifa na yale ya ndani, ikitwaa mataji matatu ya Ligi Kuu...
Beki Mzimbabwe wa Simba achimba mkwara SAA chache tu tangu asainishwe mkataba wa kukipiga Msimbazi, beki mpya wa kati kutoka Zimbabwe, Peter Muduhwa amechimba mkwara kwa mabeki wa kati aliowakuta kikosini akiwamo Joash Onyango na...