Chaz Baba: Umaarufu samtaim miyeyusho MTUNZI na mwimbaji mkali wa muziki wa dansi, Chaz Baba amesema umaarufu wakati mwingine ni miyeyusho kwani ugeuka ni mateso kwa kuwa humjengea woga msanii kufanya jambo lolote popote hata kama...
Mose Iyobo, Masha Love mahaba niue SIKU chache tangu kusambaa kwa tetesi kwamba Mose Iyobo, dansa wa Diamond anatoka kimapenzi na staa wa Bongo Movie, Masha Love mwenyewe amevunja ukimya na kukiri ni kweli ni mtu wake na jkwamba...
PRIME Siri yafichuka, Chama apewa mkataba mnono Yanga Hata hivyo, mara baada wakala huyo kujifungia na Chama wakizungumzia dili hilo, kiungo huyo alishindwa kukubaliana na ofa hiyo akiwaambia atabaki Tanzania, ingawa anaweza kucheza timu tofauti na...
JKU kupewa ndoo ya ubingwa kecho New Amaan Complex MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, na kesho jumapili itakabidhiwa taji hilo katika sherehe zitakazoenda...
JKU yabeba ubingwa Ligi Kuu ya Zanzibar MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa taji la Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), jana Ijumaa baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, huku Zimamoto ikicharazwa mabao 2-0 na New City wakati ligi hiyo...
PRIME Chama, Aziz Ki kuna jambo linaendelea Simba, Yanga KUNA kitu kinaendelea ndani ya Simba na Yanga kuhusu usajili wa Clatous Chama.
Wanyeche avunjwa ukimya, aitaja Lugalo MSHINDI wa mashindano ya Gofu ya Alliance, yaliyofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro, Enoshi Wanyeche ameweka wazi yeye ni mchezaji wa klabu ya Gofu ya Lugalo na sio Kili Golf ya Arusha...
Zenji ni JKU au Zimamoto ligi ikifikia tamati LIGI Kuu Zanzibar kwa msimu wa 2023-2024 inafikia tamati jioni ya leo wakati zitakapopigwa mechi saba za kukamilisha raundi ya 30, ambapo bingwa mpya wa ligi hiyo anatarajiwa kufahamika rasmi...
Serbia yatishia kujitoa Euro 2024 SERBIA imetishia kujiondoa katika michuano ya Euro 2024, ikizishutumu Croatia na Albania kuwa na kampeni za kutaka kuwafanyia mambo mabaya.
PRIME Siri yafichuka rundo la kesi za Fifa, Yanga yatajwa tena DIRISHA jipya la usajili kwa ajili ya msimu ujao wa mwaka 2024-2025 limefunguliwa tangu Juni 15, huku kukiwa na sintofahamu kwa timu tano ikiwamo mabingwa wa Tanzania, Yanga.